tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Mbona hujamshukuru sasa?
Mbona hujamshukuru sasa?
Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada ya muda huo kupita wale watakaoshindwa kufanya hivyo watashughulikiwa.
Swali langu: Makarani walipangiwa maeneo yao kwa maana kila area ilikuwa covered. Kwanini hao makarani walioshindwa kuwafikia wananchi wasichukuliwe hatua?
Source: Hotuba Ya Rais
asante rais msafiriMbona hujamshukuru sasa?
asante rais msafiri
Leo Rais wetu ameondoka kwenda Ethiopia kushiriki katika mazishi.
Huku kwetu huandikishwi hadi ulipe Mchango wa ujenzi wa soko wa Tsh15,000.
Hili zoezi linasimamiwa na Viongozi wetu wa Mtaa.