Tunamshukuru Rais kwa Kuongeza Muda wa Sensa

Tunamshukuru Rais kwa Kuongeza Muda wa Sensa

This is so "stone aged" nashangazwa hata ku type unajuwa!

Hatuhesabiwi mpaka tujulikane dini zetu, uongo mwingi wa static=stics, TBC wana data yao, kanisa wana data yao, utalii wana data yao, waislaam wana data yao. Why?
 
Vitambulisho vya taifa ni haki ya kila raia na hata wakimbizi, kutohesabiwa kwenye sensa hakuondoi haki ya kupatiwa kitambulisho cha taifa.

Hakuna niliposema asiyeonekana kwenye sensa asipate kitambulisho. Nadhani umenielewa.
 
Naishauri Serikali itumie list za sensa kugawa vitambulisho vya taifa. Asiyeonekana kwenye hizo list atapaswa kujieleza ilikuwaje asiwepo; kama atakuwa na sababu za msingi will be OK vinginevyo kama ni hadithi za akina Ponda hatua stahiki zichukuliwe. Halafu maajabu ya firauni utamkuta Ponda yumo kwenye sensa - kishawauza wenzie.

Maneno uliyoandika,wewe mwenyewe umeyasoma?kama kugoma ni dhambi/kuvunja sheria,mbona MADAKTARI,WALIMU,...wanagoma na mpaka maelfu ya watu wanaathirika i.e vifo na hakuna hatua wanayochukuliwa.Hawafukudhi kazi,hawapunguzwi mshahara...na badala yake wanabembelezwa kwnye meza ya mazungumzo.
 
Hatuhesabiwi mpaka tujulikane dini zetu, uongo mwingi wa static=stics, TBC wana data yao, kanisa wana data yao, utalii wana data yao, waislaam wana data yao. Why?
TBC ndo kitu gani?na wao zoezi hilo ama namba hizo ni serikali iliwapatia?eti hamuhesabiwi mpaka mjulikane dini yenu,nani haifahamu dini yenu?ama hata hamjui ni kwanini mnapinga sensa?

Kama serikali haikuwapatia hizo takwimu hao uliowataja,then kwanini iwe kwenu?kwanini serikali ndo ihesabu waislam?

Na pia ikijulikana mko wengi ndiyo iweje?
 
Ni kweli nimeongea hayo kwenye hotuba yangu ya leo kwa msisitizo ni kwamba serikali itawachukulia hatua kali wale wote watakaoshindwa kuwasilisha taarifa zao ndani ya muda uliotengwa ikiwa ni pamoja na kuwafutia haki yao ya uraia.

huyu jk anazeeka vibya.sasa kulikuwa na ulazima hawa watu wa sensa kupata posho kwa kutumia kodi zetu.kwanini tangu mapema tusingepeleka wenyewe taarifa zetu kwa hao watu!then to save posho.
 
Kweli Watz hatujui tunatoka wapi tunakwenda wapi na dunia iko wapi na inakwenda wapi!!! Hivi ikijua waislam wako idadi fulani ndo inaongeza nini? Kwa hiyo inasaidia nini kumaliza umaskini wetu?
 
oi Hivi huyu Raisi kuna Jambo lolote la Kumshukuru? manake hata la Sensa limedhihirisha ni Udhaifu sasa ushukuru mtu ambaye anaongeza bajeti? hivi unajua kwa Siku ni Pesa Ngapi wanaspendi? kwa hii Kitu ya Tathmini ya Watu? Nakubariana na Barubaru Wa tz tunasumbuliwa na umaskini wa Akili Mali tunazo Nyingi sana kuliko Nchi nyingi sana Duniani
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimepiga chaki mlangoni kwangu, na wengi wengine wamefanya hivyo, wana ushahidi gani kama sijahesabiwa? wakiona chaki wanapita.

Kwi kwi kwi teh teh teh!

wameacha nafasi kwenye DODOSO UTAKOMA!
 
Waje kunihesabu mapema kabla sijaenda beach, priority kwangu kuogelea na sio blah blah
 
Mimi nimepiga chaki mlangoni kwangu, na wengi wengine wamefanya hivyo, wana ushahidi gani kama sijahesabiwa? wakiona chaki wanapita.

Kwi kwi kwi teh teh teh!

serikali imetenga fedha kwa ajili ya kuandaa Pilau...naamini kwa mbinu hii wale wote waliokimbia kuhesabiwa kama Ponda watajitokeza kwa wingi.
 
Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada ya muda huo kupita wale watakaoshindwa kufanya hivyo watashughulikiwa.

Swali langu: Makarani walipangiwa maeneo yao kwa maana kila area ilikuwa covered. Kwanini hao makarani walioshindwa kuwafikia wananchi wasichukuliwe hatua?

Source: Hotuba Ya Rais
Kwa kukusaidia makarani hawa wamefanya uzalendo mkubwa sana, makarani waliambiwa EA atakayopangiwa itakuwa na wastani wa kaya 60 mpaka 100 lakini naomba nikushuhudie kuwa makarani wamekuta vitu tofaiti kabisa wengi wameanzia kaya 100 mpaka 170.kufanya kazi ya namna hiyo kwa muda wa wiki moja ni jambo gumu sana na walitakiwa walipwe tena!
 
Inamaana na makarani wa sensa si itabidi waendelee kulipwa? Kwa magumashi serikali iliyoonyesha tangia awali basi kazi wanayo
 
Nadhani watu wanalipwa kuhesabu watu 140billion sasa iweje sasa tuwafate wao ? Inaonekana zoezi limefeli
Kama hawajamalize waje kutuhesabu kuwachulia hatua kwa uzembe wao ni. Uonevu
 
TBC ndo kitu gani?na wao zoezi hilo ama namba hizo ni serikali iliwapatia?eti hamuhesabiwi mpaka mjulikane dini yenu,nani haifahamu dini yenu?ama hata hamjui ni kwanini mnapinga sensa?

Kama serikali haikuwapatia hizo takwimu hao uliowataja,then kwanini iwe kwenu?kwanini serikali ndo ihesabu waislam?

Na pia ikijulikana mko wengi ndiyo iweje?

Tunataka kupunguza makali ya 83/17
 

Kwa mara ya kwanza Tanzania baada ya kulalamika kudhulumiwa kutoka wizara ya elimu, imegundulika kuwa ni kweli. Unafikiri imekubalika tu kiburebure hiyo? miaka yote mbona tukilalamika hayafatiliwi? safari hii kulikoni? au ni Shukuru Kawambwa? au ni Jakaya?

Si huko tu, tukijuwa idadi ya waislaam tutajuwa na waliosoma wangapi na kama wapo basi na wao wawe na nyadhifa kutokana na idadi yao na si 83/17 panga panguwa.
 
Back
Top Bottom