This is so "stone aged" nashangazwa hata ku type unajuwa!
Vitambulisho vya taifa ni haki ya kila raia na hata wakimbizi, kutohesabiwa kwenye sensa hakuondoi haki ya kupatiwa kitambulisho cha taifa.
Naishauri Serikali itumie list za sensa kugawa vitambulisho vya taifa. Asiyeonekana kwenye hizo list atapaswa kujieleza ilikuwaje asiwepo; kama atakuwa na sababu za msingi will be OK vinginevyo kama ni hadithi za akina Ponda hatua stahiki zichukuliwe. Halafu maajabu ya firauni utamkuta Ponda yumo kwenye sensa - kishawauza wenzie.
TBC ndo kitu gani?na wao zoezi hilo ama namba hizo ni serikali iliwapatia?eti hamuhesabiwi mpaka mjulikane dini yenu,nani haifahamu dini yenu?ama hata hamjui ni kwanini mnapinga sensa?Hatuhesabiwi mpaka tujulikane dini zetu, uongo mwingi wa static=stics, TBC wana data yao, kanisa wana data yao, utalii wana data yao, waislaam wana data yao. Why?
Ni kweli nimeongea hayo kwenye hotuba yangu ya leo kwa msisitizo ni kwamba serikali itawachukulia hatua kali wale wote watakaoshindwa kuwasilisha taarifa zao ndani ya muda uliotengwa ikiwa ni pamoja na kuwafutia haki yao ya uraia.
...na posho inaongezwa?
Mimi nimepiga chaki mlangoni kwangu, na wengi wengine wamefanya hivyo, wana ushahidi gani kama sijahesabiwa? wakiona chaki wanapita.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Mimi nimepiga chaki mlangoni kwangu, na wengi wengine wamefanya hivyo, wana ushahidi gani kama sijahesabiwa? wakiona chaki wanapita.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Kwa kukusaidia makarani hawa wamefanya uzalendo mkubwa sana, makarani waliambiwa EA atakayopangiwa itakuwa na wastani wa kaya 60 mpaka 100 lakini naomba nikushuhudie kuwa makarani wamekuta vitu tofaiti kabisa wengi wameanzia kaya 100 mpaka 170.kufanya kazi ya namna hiyo kwa muda wa wiki moja ni jambo gumu sana na walitakiwa walipwe tena!Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada ya muda huo kupita wale watakaoshindwa kufanya hivyo watashughulikiwa.
Swali langu: Makarani walipangiwa maeneo yao kwa maana kila area ilikuwa covered. Kwanini hao makarani walioshindwa kuwafikia wananchi wasichukuliwe hatua?
Source: Hotuba Ya Rais
wameacha nafasi kwenye DODOSO UTAKOMA!
TBC ndo kitu gani?na wao zoezi hilo ama namba hizo ni serikali iliwapatia?eti hamuhesabiwi mpaka mjulikane dini yenu,nani haifahamu dini yenu?ama hata hamjui ni kwanini mnapinga sensa?
Kama serikali haikuwapatia hizo takwimu hao uliowataja,then kwanini iwe kwenu?kwanini serikali ndo ihesabu waislam?
Na pia ikijulikana mko wengi ndiyo iweje?
Tunataka kupunguza makali ya 83/17
Kivipi?