MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Nakumbuka nilirudi likizo Mwaka 1999 Nikakuta mzee anayo simu ya Motorola kubwa nikashindwa kuitofautisha na radio call aliyokuwa anatumia na simu ya motorola aliyokuwa nayo na kipindi hicho ndio huduma za simu zimeanza kutolewa kwenye vibanda vya wafanyabiashara. Cha kushangaza ilikuwa huduma ya kubeep (kama walivyokuwa wanaita kubeep)' ilikuwa nı Tshs 500.
Kwa kweli sikuweza kuamini. Kulikuwa na huduma pia ya kutuma 'meseji' na kupigiwa. Yani unampa mtu namba ya simu ya mwenye kibanda, anapga na wewe pia unamlipa mwenye kibanda kupokea simu yako. Kijiji kizima tulikuwa tunajuana..so simu ikipgwa toka kwa ndugu yako mjini utatafutwa mpaka upatikane.
Sikumbuki tulilipia sh ngapi kutuma msg na kujibiwa kutumia simu ya mwenye kibanda. Kiukwelia tumetoka mbali. leo hii kuna mijitu inalinga na simu SMARTPHONE ikikosoa baadhi ya mambo ya Mzee Mkapa hapa JF ,nyie watu nyie no body perfect.
Kwa kweli sikuweza kuamini. Kulikuwa na huduma pia ya kutuma 'meseji' na kupigiwa. Yani unampa mtu namba ya simu ya mwenye kibanda, anapga na wewe pia unamlipa mwenye kibanda kupokea simu yako. Kijiji kizima tulikuwa tunajuana..so simu ikipgwa toka kwa ndugu yako mjini utatafutwa mpaka upatikane.
Sikumbuki tulilipia sh ngapi kutuma msg na kujibiwa kutumia simu ya mwenye kibanda. Kiukwelia tumetoka mbali. leo hii kuna mijitu inalinga na simu SMARTPHONE ikikosoa baadhi ya mambo ya Mzee Mkapa hapa JF ,nyie watu nyie no body perfect.