Tunamsifu Bernard Morrison, ila kwa 75% hana Msaada kwa Simba SC na ni Mzigo, lakini kwa 25% ndiyo huwa anatusaidia

Tunamsifu Bernard Morrison, ila kwa 75% hana Msaada kwa Simba SC na ni Mzigo, lakini kwa 25% ndiyo huwa anatusaidia

Sure tena akaandika na kwenye page yake kwamba anajilinda asije kupigwa uviko19 .Kweli alishajiona mess[emoji16]
 
Sure jamaa anapenda Sana kamera anasahau Ana majukumu gan yaliompeleka Simba.
Chenga zipigwe lakin sio kila Mara ili kutaka kuonyesha wewe ndie wewe ,wakina lonardo wanapiga chenga pia wanaibeba timu kwenye nyakat ngumu ,Jana nilikua bandan alivyotoka nikafurah Ila wajinga kibao wakalaum ,baadae wakatoka kwa aibu baada ya kuona changes na kupatikana goli baada ya kuingia shomi.

Jamaa Ni mchezaj mzur Sana sema showoff na ufather mwingi vinamharibu .

Mtu Kama huyu piga benchi mechi za maana na timu itoke na ushindi bila yeye alafu yeye achezeshwe mechi za kawaida Sana za kwenye ligi ,lazima nidhamu itarud tu.
Ntibanzokiza nae alianza ufather huo lakin big up kwa nabi aliamua amuonyeshe kuwa wewe Ni mtu wa kawaida Sana linapokuja swala la nembo ya yanga ,for sure toka hapo kawa na nidhamu balaa .

Kwa hapo watani wametufundisha kitu hata Pablo aige Hilo niamin nidhamu itamrudia tu.

Nashaur hata derby asicheze kabisa maana najua hatafanya chochote .
Wawa ,Morrison ,kanoute ,Bocco kwenye derby watuache kidogo ,Bora tufungwe Ila hao watu wasichezeshwe kabisa .
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo (Mbinafsi)

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
Hata Wanazi wakikushambulia lakini Ukweli Morrison ni mvua ya msimu.
 
Anachonifurahisha zaidi kwenye hizo asilimia 25 ni pale anapoamua matokeo. Atacheza vibaya dk 89 lakini dakika 1 anaweza kubadili Kila kitu.

Ila jamaa wakati mwingine ana maudhi.
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo (Mbinafsi)

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
Si kocha kampa kile cheo cha akina Messi na Ronaldo (free role) kwahiyo mwache avimbe bana
 
Morrison amejaaliwa kipaji kuliko hata Luis Miquissone. Leo Luis yuko Al Ahly, Morrison kabaki Bongo anaupanda mpira! Masihara mengi yasiyo na msingi.
 
Sure jamaa anapenda Sana kamera anasahau Ana majukumu gan yaliompeleka Simba.
Chenga zipigwe lakin sio kila Mara ili kutaka kuonyesha wewe ndie wewe ,wakina lonardo wanapiga chenga pia wanaibeba timu kwenye nyakat ngumu ,Jana nilikua bandan alivyotoka nikafurah Ila wajinga kibao wakalaum ,baadae wakatoka kwa aibu baada ya kuona changes na kupatikana goli baada ya kuingia shomi.

Jamaa Ni mchezaj mzur Sana sema showoff na ufather mwingi vinamharibu .

Mtu Kama huyu piga benchi mechi za maana na timu itoke na ushindi bila yeye alafu yeye achezeshwe mechi za kawaida Sana za kwenye ligi ,lazima nidhamu itarud tu.
Ntibanzokiza nae alianza ufather huo lakin big up kwa nabi aliamua amuonyeshe kuwa wewe Ni mtu wa kawaida Sana linapokuja swala la nembo ya yanga ,for sure toka hapo kawa na nidhamu balaa .

Kwa hapo watani wametufundisha kitu hata Pablo aige Hilo niamin nidhamu itamrudia tu.

Nashaur hata derby asicheze kabisa maana najua hatafanya chochote .
Wawa ,Morrison ,kanoute ,Bocco kwenye derby watuache kidogo ,Bora tufungwe Ila hao watu wasichezeshwe kabisa .

Ndio maana Msimu uliopita Miquissone alikua anamuweka benchi…Konde boy kipaji anacho halafu mtu wa kazi!
Morrison kipaji kingi kichwani sifuri na masihara ya kijinga kila kukicha!
 
Wanadamu kwenye roho za kitu...simba ikishinda tunasahau mapungufu ya wachezaji, tukipoteza tunaanza ku justify MTU mmoja mmoja.

Huu sio ukomavu wa kimpira na uelewa kuhusu mpira wa miguu. IPO hapa ya kuchambua makosa ya timu na mchezaji mmoja mmoja kabla ya mechi, sio baada ya mechi.

Game tactics na approach ya mchezo husika inabadili sura ya timu. Ikiwa Pablo kashasema tushambulie taratibu na sio kwa pupa, Morrison na Dilunga msikabe, wewe shabiki unataka kitu gani?

Timu ilikwenda Zambia kuhitimisha safari ya kwenda hatua ya makundi ni kitu gani kingine mnataka?

Mara nyingi falsafa ya kocha inaathiri malengo ya timu na uongozi kwa ujumla. Mifano hai ni kwa Man City na Chelsea msimu ulioisha. Nani alitarajia kuwa Man city atafungwa fainali mbili zote na timu ile ile tena goli moja tu?

Sent from my Infinix X559 using JamiiForums mobile app
 
Wanadamu wenye roho za kutu...simba ikishinda tunasahau mapungufu ya wachezaji, tukipoteza tunaanza ku justify MTU mmoja mmoja.

Huu sio ukomavu wa kimpira na uelewa kuhusu mpira wa miguu. IPO hapa ya kuchambua makosa ya timu na mchezaji mmoja mmoja kabla ya mechi, sio baada ya mechi.

Game tactics na approach ya mchezo husika inabadili sura ya timu. Ikiwa Pablo kashasema tushambulie taratibu na sio kwa pupa, Morrison na Dilunga msikabe, wewe shabiki unataka kitu gani?

Timu ilikwenda Zambia kuhitimisha safari ya kwenda hatua ya makundi ni kitu gani kingine mnataka?

Mara nyingi falsafa ya kocha inaathiri malengo ya timu na uongozi kwa ujumla. Mifano hai ni kwa Man City na Chelsea msimu ulioisha. Nani alitarajia kuwa Man city atafungwa fainali mbili zote na timu ile ile tena goli moja tu?

Thomas Tuchel, aligundua kuwa hawezi kuwazuia Man City kwa njia kumiliki Mpira, ila anaweza kukaba nafasi za kupenya mipira yenye madhara na kuwashambulia kwa kushtukiza kwa haraka.

NB. Pablo anafanya kazi mbili kwa wakati mmoja, anatakiwa kuijenga simba na kuifikisha simba inapotakiwa kama uongozi unavyotaka, malengo ya uongozi ni timi kufika katika mashindano haya.

Mpaka sasa Pablo ana mwezi tu, lakini amewapa uongozi ulichokitaka kwanza, kufuzu kuingia hatua ya makundi, bado kucheza robo fainali na nusu fainali.

Mpira ni sayansi ngumu tuache kelele, zisizo na maana

Sent from my Infinix X559 using JamiiForums mobile app



Sent from my Infinix X559 using JamiiForums mobile app
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo (Mbinafsi)

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
Umeandika kweli tupu.
Kiukweli pale hamna kitu. Ni hivyo tu Tanzania hakuna wachambuzi kuna wachambaji.
Kwa umri aliokuwa nao bwana yule hawezi kubadilika.
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao sifurahishwi na uchezaji wake akiingia team inakosa utulivu kona anataka kupiga yeye faulu yeye anapenda kucheza na majukwaa.
 
Wanadamu kwenye roho za kitu...simba ikishinda tunasahau mapungufu ya wachezaji, tukipoteza tunaanza ku justify MTU mmoja mmoja.

Huu sio ukomavu wa kimpira na uelewa kuhusu mpira wa miguu. IPO hapa ya kuchambua makosa ya timu na mchezaji mmoja mmoja kabla ya mechi, sio baada ya mechi.

Game tactics na approach ya mchezo husika inabadili sura ya timu. Ikiwa Pablo kashasema tushambulie taratibu na sio kwa pupa, Morrison na Dilunga msikabe, wewe shabiki unataka kitu gani?

Timu ilikwenda Zambia kuhitimisha safari ya kwenda hatua ya makundi ni kitu gani kingine mnataka?

Mara nyingi falsafa ya kocha inaathiri malengo ya timu na uongozi kwa ujumla. Mifano hai ni kwa Man City na Chelsea msimu ulioisha. Nani alitarajia kuwa Man city atafungwa fainali mbili zote na timu ile ile tena goli moja tu?

Sent from my Infinix X559 using JamiiForums mobile app
Kukumbusha Ni muhimu kuliko kuimba pambio kwenye hakuna ,hata mechi ikimkubali vipi bado anakua na ufather na mbwembwe zisizo na ulazima .

Kuna game unaona kabisa wachezaji wakiacha kucheza na majukwaa na kuwa serious uwezo wa kupata goli 5 na kuendelea Ni kawaida tu ,Sasa ugonjwa huu lazima ukemewe ,Mara nyingi simba ikipata goli 2 au 3 wachezaji wanaanza show off za kipumbavu ,timu lazima iwe na spirit ya kuheshimu mchezo dakika ya kwanza had 90 ,nadhan unafuatilia mpira wa ulaya ,timu ikikuotea inakupiga had 7 wanakua hawana muda wa kupoteza yaan wanakaza mwanzo mwisho.

Tukikaa kimya huu ujinga utaendelea kutucost ,refer mechi dhidi ya wale makiriri ,Simba imetolewa sabab ya huu huu ujinga wa kuamin game imeisha na kuanza kucheza na majukwaa .
 
Back
Top Bottom