Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Kama unamjua huyu mama anatafutwa ili wamsapoti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isambazwe kwenye mitandao mingine. Kamari imeharibu mpaka wazee hapo keshapigwa tayari pesa yake yote ya mauzo ya siku
#famillilahIsambazwe kwenye mitandao mingine. Kamari imeharibu mpaka wazee hapo keshapigwa tayari pesa yake yote ya mauzo ya siku
😂 😂Isambazwe kwenye mitandao mingine. Kamari imeharibu mpaka wazee hapo keshapigwa tayari pesa yake yote ya mauzo ya siku
🤣🤣Ngozi ya shingo inaonyesha atakuwa na wajukuu huyo.Hapo akirudi nyumbani watoto watakunywa uji mkavu 😁
Hilo dude ni nadra sana kukuacha salama, sasa cha kujiuliza alijifunza vipi, alifikiria nini hadi kuanza kulicheza😂😂
Kapigwa mtajiKweli kwa huo mkao ameshapigwa kama ulivosema
.....na ndipo ulipo UHARAMU wake!Kapigwa mtaji
Kapigwa matumizi
Kapigwa faida
Kuna biashara zimejaa laana na kamari ni mojawapo
Ni vitu ambavyo huwa sitaki mazoea navyo kabisaa!Kapigwa mtaji
Kapigwa matumizi
Kapigwa faida
Kuna biashara zimejaa laana na kamari ni mojawapo
Kuna jamaa yangu aliliwa 5k ya sigara alizotumwa na mzee wake.Kikapu chake cheusi kimejaa MACHUPA YA "Chachandu" ,ukwaju ,tomato na mbirimbi"....
Maskini ameshamaliza biashara yake ya SAMBUSA ,MIHOGO NA "vichips vya watoto" anakuja "KUPIGIKA" mbele ya hilo DUBWANA 🤣🤣🤣🤣
🤣mchina sio mtu mzuri