Tunamtafuta huyu mama, anayemjua atusaidie kuna wanaotaka kumsapoti

Tunamtafuta huyu mama, anayemjua atusaidie kuna wanaotaka kumsapoti

Kwenye kikapu chake hapo chini naona ana chupa ya mafuta ya kula, pengine alitaka ela iongezeke ili apate ela ya mboga. Kuna haja kweli ya kumtafuta ili tumpe sapoti.
 
Kwenye kikapu chake hapo chini naona ana chupa ya mafuta ya kula, pengine alitaka ela iongezeke ili apate ela ya mboga. Kuna haja kweli ya kumtafuta ili tumpe sapoti.

Mmeshaingizwa chaka.. ..bibi mwenyewe haelekei



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Kuna wazee wengine tuko nao kwenye Majumba ya kubeti hahaha

Tembeleen na huku Hali ni nzito
 
Kikapu chake cheusi kimejaa MACHUPA YA "Chachandu", ukwaju, tomato na mbirimbi"

Maskini ameshamaliza biashara yake ya SAMBUSA ,MIHOGO NA "vichips vya watoto" anakuja "KUPIGIKA" mbele ya hilo DUBWANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchina kasha fanya makeke [emoji23][emoji23]
 
Hivi inawezekana kweli kwa Mzee kama huyo kujua kuucheza huo mchezo?

Maana Mzee kama unaweza kukuta hata simu ya tochi tu inampashida kutumia.

Huwenda watu wamemseti hapo.

Mbona hawakumpiga picha akiwa anacheza kama ni tabia yake?
 
Mambo mengine ni kujiongeza tu...hivi ni nani atakuwekea dubwana hapo eti likupe pesa.
 
Hivi inawezekana kweli kwa Mzee kama huyo kujua kuucheza huo mchezo?

Maana Mzee kama unaweza kukuta hata simu ya tochi tu inampashida kutumia.

Huwenda watu wamemseti hapo.

Mbona hawakumpiga picha akiwa anacheza kama ni tabia yake?
Unaongelea wazee wa wapi? Sio kile mzee ni mbumbumbu kama wazee wako

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Ifakara na usukumani haya madude ni janga la taifa sana wanayacheza sana.
 
Pray for our country
Kwenye mkutano mmoja na marehemu JPM, mbunge wa zamani wa Kawe Adamjee alitoa hoja kuwa hii michezo ya kamali ipigwe marufuku kwani inaongeza I maskini kwa nchi na pia kuharibu maadili ya vijana.
Inaelekea ushauri wake murua wahusika waliudharau!!
 
Unaongelea wazee wa wapi? Sio kile mzee ni mbumbumbu kama wazee wako

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sijui kwanini umenijibu kwa jazba!

Halafu mimi nimeuliza hapo na kureason kwa mtazamo wangu, kama unaona haiwezekani jibu kistaarabu acha jazba.

Halafu kumbuka hiyo ni picha hivyo kila mtu anaitafsiri kivyake, hebu iangalie tena.
 
Back
Top Bottom