Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nilijua niko peke yangu ambae simuelewi Kumbe tupo wengi
Wale producers waliomtoa wako wapi nw!?HIP HOP bongo ilishakufa zamani,
Nusu nusu = show za joh pale alichezaanaimba “nusu mshomali, nusu bobu male” [emoji445][emoji445]
Niliwahi kuwaza hivi pia...Ni kama Roma tu ila nahisi icho ambacho akieleweki ndicho kinachowalipa kuliko kile kinachoeleweka so nahisi wanafanya kinachowalipa na sio kinachoeleweka
Anaendesha maisha yake kwa hizo nyimbo usizozipendaKwanza nikiri Im his biggest fan..
Kwakweli nimevumilia bimeshindwa....
Nimempigania sana ila hapana..
Anaharibu.
Hii ngoma yake ya sasa ya mipaka ndo sijaielewa kabisa.
Wacha aende tu ...
zaiidJe nimsanii gani unemuelewa anachoimba siku hizi?
Kwanza nikiri Im his biggest fan..
Kwakweli nimevumilia bimeshindwa....
Nimempigania sana ila hapana..
Anaharibu.
Hii ngoma yake ya sasa ya mipaka ndo sijaielewa kabisa.
Wacha aende tu ...