Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Alicho jaribu kumentain ni ule mtindo wake wa Kusuka Nywele, nadhani hajabadili Msusi...!

KUHUSU MUZIKI ni Madudu tuu, bora kipindi kile anapigania jina Mfalme, nilikuwa namuelewa vizuri..
 
kuna wimbo wanatikisa kope za macho nayo sijui inaitwa nicome hata siwaelewi kabisa
 
kuna mtoto alishawahi kusema anaskia joh anabebwa mpka anaanza kuhisi ni ukweli
 
akasema tena... kwenye group la fake rappers admin hawezi kuwa ngosha
 
Kweli mkuu hata ule wimbo wa kata leta hamna kitu, ni aibu from hero to zero, lakini tatizo lake sasahivi ni nn ?
 
Aisee huyo chalii tangu amehamia dar amekua wakisoroooo kama jamaa wa huko tu.
 


tutamchukua ucjal
 
Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
nikiskiaga huo wimbo unapofika kwenye huo ubeti huwa nazima radio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…