Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Ila mkuu Leigwanan usisahau kua Kababaa anafanya Phd so ni gharama pia kujilipia jombaa.
 
Ila mkuu Leigwanan usisahau kua Kababaa anafanya Phd so ni gharama pia kujilipia jombaa.
Phd ni kama m26 hadi 30 kwa hapa bongo...Diamond alitoa gari ya m26 kwa mchepuko ulionasa mimba!....ukweli ni kwamba game yao imewapa hela ya kulipia pango,kula,kuingia sheli na vitu vingine vidogo lakini sio kufanyia big investments!
 
Nashkuru kama na ww umeliona ilo mkuu. Kuna watu nilibishana nao kuhusu ilo nikaonekaa simkubali Joh. Ila kiukweli Makini wa sasa hivi hata mimi simuelewi.
Amepoteza u-mwamba wake
 
Unaweza kuimba laini ila ukakaza kwny kuandka. Mbona ile Kilimanjaro ni laini ila kaandka vizur
 
Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
Kapitiliza
 
Nasikia alitoa wimbo na Davido.
Ni kweli?
Yeah unaitwa Kata Leta...Frankly speaking mm sikuupenda hata siusukilizi sujui wadau wengine.Ila najua Nick huwa anapitia humu Jf achukue hizi changamoto wakazifanyie kazi ili waendelee kuwepo kwenye industry.
 
hapo sijakuelewa kabisa broo, et "akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (chidi benz)

nafaham joh longtime before huyo chid,

[emoji2] [emoji23] [emoji16]
 
hapo sijakuelewa kabisa broo, et "akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (chidi benz)

nafaham joh longtime before huyo chid,

[emoji2] [emoji23] [emoji16]
Weeee who told u?? Wakat Joh anahangaika kuomba a-record Chid Benz alkuwa tayar ana track zake kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…