Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Ila mkuu Leigwanan usisahau kua Kababaa anafanya Phd so ni gharama pia kujilipia jombaa.
 
Ila mkuu Leigwanan usisahau kua Kababaa anafanya Phd so ni gharama pia kujilipia jombaa.
Phd ni kama m26 hadi 30 kwa hapa bongo...Diamond alitoa gari ya m26 kwa mchepuko ulionasa mimba!....ukweli ni kwamba game yao imewapa hela ya kulipia pango,kula,kuingia sheli na vitu vingine vidogo lakini sio kufanyia big investments!
 
Upepo umebadilika zile hardcore hiphop sasa zinaonekana "haziuzi" tena in the sense kwamba wale wanaobakia na hardcore hiphop ni wale walio na misingi yao "economic resilience"cheki watu kama Watengwa recs. wao wamebakia na hardcoreHiphop kutokana na mahaba yao sasa kwa sababu ya "njaa" hardcore hiphop inatupwa kando japo ni mziki wenye kutoa uhalisi wa maisha ya "watu wetu" nafikiri ndio chanzo cha Joh na wengine wengi kufanya hihop laini.
Unaweza kuimba laini ila ukakaza kwny kuandka. Mbona ile Kilimanjaro ni laini ila kaandka vizur
 
Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
Kapitiliza
 
Nasikia alitoa wimbo na Davido.
Ni kweli?
Yeah unaitwa Kata Leta...Frankly speaking mm sikuupenda hata siusukilizi sujui wadau wengine.Ila najua Nick huwa anapitia humu Jf achukue hizi changamoto wakazifanyie kazi ili waendelee kuwepo kwenye industry.
 
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz). Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana. Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.
Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.
Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue
hapo sijakuelewa kabisa broo, et "akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (chidi benz)

nafaham joh longtime before huyo chid,

[emoji2] [emoji23] [emoji16]
 
hapo sijakuelewa kabisa broo, et "akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (chidi benz)

nafaham joh longtime before huyo chid,

[emoji2] [emoji23] [emoji16]
Weeee who told u?? Wakat Joh anahangaika kuomba a-record Chid Benz alkuwa tayar ana track zake kadhaa
 
Back
Top Bottom