The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Tunamshukuru sana Rais SSH kwa kupunguza nguvu ya miali ya jua isituunguze wakazi wa Dar!Wakuu habari
Tunamuomba rais , aweze kushirikiana vyema na kitengo Cha hali ya Hewa Tanzania, Ili kuweza Kupunguza ukali wa jua la hapa dar . Hapa dar jua ni Kali sana na linachoma angel zote za mwili .
Tutamshukuru rais kama atafanikiwa kupunguza au kuzuia kabisa uwakaji wa jua ..Maana wananchi wake tunateseka sana .
Asanteni
๐Tunamuomba rais, aweze kushirikiana vyema na kitengo cha hali ya hewa Tanzania, Ili kuweza Kupunguza ukali wa jua la hapa dar. Hapa dar jua ni Kali sana na linachoma angel zote za mwili.
Wakuu habari,
Tunamuomba rais, aweze kushirikiana vyema na kitengo cha hali ya hewa Tanzania, Ili kuweza Kupunguza ukali wa jua la hapa dar. Hapa dar jua ni Kali sana na linachoma angel zote za mwili.
Tutamshukuru rais kama atafanikiwa kupunguza au kuzuia kabisa uwakaji wa jua. Maana wananchi wake tunateseka sana.
Asanteni
Haha. ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ.
. Alafu pia jua utaona linawaka ukiwa Huna Hela.
Duu! Ngoja niondoke zangu mieWakuu habari,
Tunamuomba rais, aweze kushirikiana vyema na kitengo cha hali ya hewa Tanzania, Ili kuweza Kupunguza ukali wa jua la hapa dar. Hapa dar jua ni Kali sana na linachoma angel zote za mwili.
Tutamshukuru rais kama atafanikiwa kupunguza au kuzuia kabisa uwakaji wa jua. Maana wananchi wake tunateseka sana.
Asanteni
Hahaha msenge sana wewUkute serkali ya ccm wamekula hela ya vuli maana huu ndio ulikua msimu wake