The Kop
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 209
- 93
sisi ni vijana wasomi wa shahada kutoka chuo cha mipango ya maendeleo vijijini Dodoma. tumeunda kikundi cha wajasiriamali kinachoitwa Poverty Eradication Through Agriculture (PETA). kikundi kina jumla ya watu saba,mwenye elimuya chini miongoni mwetu ni kidato cha 4. kwa ujumla tunajishughulisha na kilimo cha umwagiliaji na tuna matarajio ya kufuga kuku wa asili kwa njia za kisasa. hadi sasa tumeandaa shamba la ekari 6 ambazo tunatarajia kulima mpunga, Tuliamua kulima mpunga, japo halikuwa wazo letu, baada ya kuwepo tishio la mvua nyingiambazo zingetuingiza hasara endapo tungelima zao lingine, ukizingatia mtaji ulikuwa wa kuunga unga(tuliweka kiasi cha boom tulichokuwa tunapata). Vile vile tumeweza kuchimba mtaro wa mita 300 kutoka na kituo cha maji (water point) ya ft6*6
tunataka kupanua kilimo chetu,kwani tuna shamba la eka 50, ambazo tumepewa na mlezi wetu wa kikundi. Shamba hilo bado bikra kabisa kwani tumefyeka pori ambalo lilikuwa halijalimwa kwa muda mrefu sana, na udongo wake ni wa mfinyazi mweusi tii. Kwa ujumla udongo huu unakubali kila aina ya mzazao.
Tumejaribu kwenda Halmashauri ya wilaya ya bunda.tukiwa na mchanganuo wa japo tukopeshwe kutoka mfuko wa maendeleo ya jimbo au kupitia mfuko wa vijana lakini wanadai hakuna pesa,tumejaribu kwenda bank,anadai hatukopesheki, hatu secutity. Tunaomba wadau, kama tuna weza kusaidika namna yoyote ile,hususan kukopeshwa, tusaidiwe, ili tukabiliane na changamoto za kukosa ajira.
MAKADIRIO YA KUANDAA EKARI 20 ZA MPUNGA
Kufyeka miti na kuondoa visiki 50,000@eka
50,000*20= 1,000,000/=
kulima kwa mara ya kwanza 50,000/= kwa eka
50,000*20= 1,000,000/=
kulima kwa mara ya pili
40,000/=@eka
40,000*20=800,000/=
kulainisha(leveling) 30,000/=@eka
30,000/=*20=600,000/=
kuweka makinga maji 30,000/@eka
30,000/=*20=6,000,000/=
JUMLA NDOGO 4,000,000/=
Mipira ya kummwagilia,( tayari tuna mita 200 na mashine tunayo)
mita 500@100=150,000/=*5=750,000/=
Petroli lita 200@2500=500,000/=
JUMLA NDOGO=1,250,000/=
JUMLA KUU 5,250,000/=
MAKADIRIO YA MAPATO
Wastani ekari moja inatoa gunia 40-45, ukipanda mbegu za kitaalamu na kulima kitaalam
40*20=800
wastani wa bei ya ginia la mpunga= 100,000
100,000*800= 80,000,000/=
80,000,000/= toa matumizi, tuseme mil 10
faida mil 70.
NB Kuna NGO inaitwa THIRD MILLENIUM PEACE INITIATIVE FOUNDATION, BUNDA, wameahidi kutupatia pembejeo na utaalamu wa kilimo bure. Huo ukokotoaji ni kwa mujibu wa wataalamu wao.
kwa mawasiliano namba za m/kiti wa kikundi 0768092016
naomba kuwasilisha.
tunataka kupanua kilimo chetu,kwani tuna shamba la eka 50, ambazo tumepewa na mlezi wetu wa kikundi. Shamba hilo bado bikra kabisa kwani tumefyeka pori ambalo lilikuwa halijalimwa kwa muda mrefu sana, na udongo wake ni wa mfinyazi mweusi tii. Kwa ujumla udongo huu unakubali kila aina ya mzazao.
Tumejaribu kwenda Halmashauri ya wilaya ya bunda.tukiwa na mchanganuo wa japo tukopeshwe kutoka mfuko wa maendeleo ya jimbo au kupitia mfuko wa vijana lakini wanadai hakuna pesa,tumejaribu kwenda bank,anadai hatukopesheki, hatu secutity. Tunaomba wadau, kama tuna weza kusaidika namna yoyote ile,hususan kukopeshwa, tusaidiwe, ili tukabiliane na changamoto za kukosa ajira.
MAKADIRIO YA KUANDAA EKARI 20 ZA MPUNGA
Kufyeka miti na kuondoa visiki 50,000@eka
50,000*20= 1,000,000/=
kulima kwa mara ya kwanza 50,000/= kwa eka
50,000*20= 1,000,000/=
kulima kwa mara ya pili
40,000/=@eka
40,000*20=800,000/=
kulainisha(leveling) 30,000/=@eka
30,000/=*20=600,000/=
kuweka makinga maji 30,000/@eka
30,000/=*20=6,000,000/=
JUMLA NDOGO 4,000,000/=
Mipira ya kummwagilia,( tayari tuna mita 200 na mashine tunayo)
mita 500@100=150,000/=*5=750,000/=
Petroli lita 200@2500=500,000/=
JUMLA NDOGO=1,250,000/=
JUMLA KUU 5,250,000/=
MAKADIRIO YA MAPATO
Wastani ekari moja inatoa gunia 40-45, ukipanda mbegu za kitaalamu na kulima kitaalam
40*20=800
wastani wa bei ya ginia la mpunga= 100,000
100,000*800= 80,000,000/=
80,000,000/= toa matumizi, tuseme mil 10
faida mil 70.
NB Kuna NGO inaitwa THIRD MILLENIUM PEACE INITIATIVE FOUNDATION, BUNDA, wameahidi kutupatia pembejeo na utaalamu wa kilimo bure. Huo ukokotoaji ni kwa mujibu wa wataalamu wao.
kwa mawasiliano namba za m/kiti wa kikundi 0768092016
naomba kuwasilisha.