Tunao tizama afcon kupitia tbc1

Tunao tizama afcon kupitia tbc1

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,796
Reaction score
2,367
Hawa tbc 1 tv huwa wanawatoa wapi watangazi wa hizi mechi mbavu zinaweza vunjika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu mane wa azam sports hd na mane tbc mbona hawafanani? kwamba huku tbc hakuna kumremba mtu anachukuliwa alivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunavumilia tu kwakuwa ni bure ila kiukweli quality ni mbovu sana TBC
 
Hyo ni roho mbaya tbc wanajitahid
Ila ukiona kero nenda supersport
 
Hawa tbc 1 tv huwa wanawatoa wapi watangazi wa hizi mechi mbavu zinaweza vunjika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu mane wa azam sports hd na mane tbc mbona hawafanani? kwamba huku tbc hakuna kumremba mtu anachukuliwa alivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wanapata feed moja kutoka caf ambao wanailisha azam na azam ndio wanailisha tbc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom