Tunaoa ili Iweje? Soma Ujifunze

Tunaoa ili Iweje? Soma Ujifunze

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Habari wanaJF

Mara kadhaa nimehoji na kuuliza kwanini iwepo kuoa na kuolewa sababu nini hasa, watu wanazingua wanatoa majibu mepesi et oooh hata mimi sijui, iko hivo ni jadi, matakwa ya Mungu, kivipi kwani kila ndoa ni ya Mungu, kwani kila jadi ni nzuri na haipingwi, kwani kutokuoa haiwezi kuwa jadi mpya.

Tukubali kupanga ni kuchagua kama wahenga waliishi kwa jadi zao basi hata kizazi cha sasa tuachwe na jadi mpya.

Kuoa au kuolewa ni mipango binafsi

Mabestie wanateseka et nami nifate upupu, thubutu!!

Ulikuja peke yako utaondoka peke yako.

Mengine tutajadili kikao chetu na Malaika huko Mbinguni.

Tuache kusumbua wengine tuwape nafasi walitumikie Taifa Kwanzaa.
 
Mkuu kwa upande wetu wakristo ndoa sio lazima,ila kama hautaweza kujizuia dhidi ya zinaa ni bora uoe ili usitende dhambi,na pia ukiwa kwenye ndoa unanafas ya kupata watoto ila kama mazngira hayatuhusu hata kuwa na watoto sio lazima
 
Utazini mpaka lini mdogo wangu?....kuna maisha baada ya uzinzi...mwenye kufanya mema anaifanyia nafsi yake na vivo hivyo mwenye kutenda maovu mfano uzinzi anaifanyia nafsi yake...................
 
Mimi dini yangu hairuhusu kukaa na mwanamke au kuzaa nae bila kufunga ndoa ila kama sio hvyo mimi nisingeoa kabisa ningetafuta watoto basi maisha mengine yaendelee.
 
Bado sijaona jibu halisia la swali naona syndromic responses, na organic replies mpaka sasa kuoa 10% kutokuoa 90%, mlioa poleni sana
 
Bado sijaona jibu halisia la swali naona syndromic responses, na organic replies mpaka sasa kuoa 10% kutokuoa 90%, mlioa poleni sana
Wewe toa ilo jibu ulilonalo ambao unataka letu lifanane nalo..karibu jukwaani mwanafalsafa
 
 
Back
Top Bottom