Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wengine tunapenda kuishi na ng'ombe siyo nyama na maziwa.Ya nini kufuga ng'ombe wakati nyama na maziwa navipata dukani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine tunapenda kuishi na ng'ombe siyo nyama na maziwa.Ya nini kufuga ng'ombe wakati nyama na maziwa navipata dukani
Uwe na majani ya kumlisha sio mpaka anaenda kwenye shamba la jilani anakamuliwa maziwa yoteWengine tunapenda kuishi na ng'ombe siyo nyama na maziwa.
Lete maandiko kuthibitisha hiki ulichokiandika!Mkuu kwa upande wetu wakristo ndoa sio lazima,ila kama hautaweza kujizuia dhidi ya zinaa ni bora uoe ili usitende dhambi,na pia ukiwa kwenye ndoa unanafas ya kupata watoto ila kama mazngira hayatuhusu hata kuwa na watoto sio lazima
Lete maandiko kuthibitisha hiki ulichokiandika!