Leo sioni yanga akitoboa sababu team yangu iko imara mno. Eneo la beki sina mashaka na AMOAH na MALICKOU NDOYE.
Kiungo kocha utachagua tu ISSAH NDALA au JAMES AKAMINKO au Mzawa BAJANA
Winger moja kipre jr + TEPSIE
TUNASHINDA 3 KWA 1
View attachment 2347247
Leo Yanga inapasukaHakuna timu ya kuifunga Yanga msimu huu kwa ligi ya Tz. Ushindi wa Azam labda sare
Kolo mfupa uliowashinda mnamtupia azam.Usijikimbie tu