Tutarudi baada ya mchezo kumalizika. Hakuna sababu ya kuandikia mate na wakati wino upo.Leo sioni yanga akitoboa sababu team yangu iko imara mno. Eneo la beki sina mashaka na AMOAH na MALICKOU NDOYE.
Kiungo kocha utachagua tu ISSAH NDALA au JAMES AKAMINKO au Mzawa BAJANA
Winger moja kipre jr + TEPSIE
TUNASHINDA 3 KWA 1
View attachment 2347247
Wamebhatika kutoa Sare... mana leo haikuwa siku yao kabisaaa!Leo sioni yanga akitoboa sababu team yangu iko imara mno. Eneo la beki sina mashaka na AMOAH na MALICKOU NDOYE.
Kiungo kocha utachagua tu ISSAH NDALA au JAMES AKAMINKO au Mzawa BAJANA
Winger moja kipre jr + TEPSIE
TUNASHINDA 3 KWA 1
View attachment 2347247