Tunaobeza Sakho kitwa timu ya taifa Senegal tuweke akiba ya maneno

Tunaobeza Sakho kitwa timu ya taifa Senegal tuweke akiba ya maneno

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Mie Sina mengi Ila tunaoweka comments humu mtandaoni tukibeza kuitwa kwa Sakho timu ya taifa, Mara anaenda kukaa Benchi, Mara hata Benchi hakai tuwe na akiba ya maneno yule mtoto anaweza kupewa dakika 10 akafunga goli Bora la mwaka Sasa sijui tutaficha wapi sura zetu.

Tubeze lakini tuwe na akiba ya maneno tusije kuaibika mbeleni. Nakumbuka babu aliniambia mpirani ongea mwanzon kidogo na mwisho uongee Sana Ila katikati angalia na furahia kinachoendelea bila kuonyesha hisia zako.
 
Sakho ni mchezaji mzuri japo kwasasa wamemwita kama kumuonyesha wanatambua juhudi zake anazo onyesha akiwa u mbumbumbuni.

Ameitwa Ili kuwaburudisha wachezaji wakubwa kwenye dressing room ndio maana haishiwi ucheshi katika video zake.
Kinacho hitajika kwake ni kubadili mtazamo wa bench la ufundi kuonekana anaburudisha wachezaji wenzake nje ya pitch mpaka kuwa Nyota halisi wa Senegal.

Tatizo ninalo liona ni timu yake ya Sasa mbumbumbu fc kujikita zaidi kwenye ushirikina kupata matokeo kunaweza ku mharibia mwendelezo wake kisoka.

Mambo ya ki shirikina yana athali kubwa kwenye soka hasa Kwa vijana, anaweza kujikuta mambo ya kishirikina ya umbumbumbuni anayapeleka pale Senegal.
Sasa aki mpiga misumari star yoyote wa ki Senegal anakua ame iua timu.[emoji2][emoji2][emoji2] Wakati ayo ni yakawaida Kwa wachezaji wa mbumbumbu fc.
 
Sakho ni mchezaji mzuri japo kwasasa wamemwita kama kumuonyesha wanatambua juhudi zake anazo onyesha akiwa u mbumbumbuni.

Ameitwa Ili kuwaburudisha wachezaji wakubwa kwenye dressing room ndio maana haishiwi ucheshi katika video zake.
Kinacho hitajika kwake ni kubadili mtazamo wa bench la ufundi kuonekana anaburudisha wachezaji wenzake nje ya pitch mpaka kuwa Nyota halisi wa Senegal.

Tatizo ninalo liona ni timu yake ya Sasa mbumbumbu fc kujikita zaidi kwenye ushirikina kupata matokeo kunaweza ku mharibia mwendelezo wake kisoka.

Mambo ya ki shirikina yana athali kubwa kwenye soka hasa Kwa vijana, anaweza kujikuta mambo ya kishirikina ya umbumbumbuni anayapeleka pale Senegal.
Sasa aki mpiga misumari star yoyote wa ki Senegal anakua ame iua timu.[emoji2][emoji2][emoji2] Wakati ayo ni yakawaida Kwa wachezaji wa mbumbumbu fc.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imenibidi nicheke tu
 
Back
Top Bottom