Sakho ni mchezaji mzuri japo kwasasa wamemwita kama kumuonyesha wanatambua juhudi zake anazo onyesha akiwa u mbumbumbuni.
Ameitwa Ili kuwaburudisha wachezaji wakubwa kwenye dressing room ndio maana haishiwi ucheshi katika video zake.
Kinacho hitajika kwake ni kubadili mtazamo wa bench la ufundi kuonekana anaburudisha wachezaji wenzake nje ya pitch mpaka kuwa Nyota halisi wa Senegal.
Tatizo ninalo liona ni timu yake ya Sasa mbumbumbu fc kujikita zaidi kwenye ushirikina kupata matokeo kunaweza ku mharibia mwendelezo wake kisoka.
Mambo ya ki shirikina yana athali kubwa kwenye soka hasa Kwa vijana, anaweza kujikuta mambo ya kishirikina ya umbumbumbuni anayapeleka pale Senegal.
Sasa aki mpiga misumari star yoyote wa ki Senegal anakua ame iua timu.[emoji2][emoji2][emoji2] Wakati ayo ni yakawaida Kwa wachezaji wa mbumbumbu fc.