Tunaofanya mazoezi huu ndo muda wa kuacha bed.

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Nashukuru Mungu kwa kuniamsha salama kabisa.Nimeamka mda huu najianda kwa ajili ya tizi kama wewe mpenda kuweka mwili vizuri basi acha shuka twenzetu.
maandalizi-nachukuwa raba,lambda,track, n.k
Nakushauri amka tupige tizi

great thinker

 
Nashukuru Mungu kwa kuniamsha salama kabisa.Nimeamka mda huu najianda kwa ajili ya tizi kama wewe mpenda kuweka mwili vizuri basi acha shuka twenzetu.
maandalizi-nachukuwa raba,lambda,track, n.k
Nakushauri amka tupige tizi

great thinker

Mkuu mi ndo naoga hapa nijiandae kwenda job
 
Najua kwa Dar job wengine toka ngoma Tisa SAA hizo wamelala kwenye daladala wanaelekea job. Shukrani kwa mwendo kasi
 
Kibongo bongo kuamka mapema tu bila ridhaa ya mwili wako ni tizi ngoja nikatafute chambi kihalali.
Ni kweli lakini nakushauri piga hata push-up kadhaa ndo uoge vuzuri.Mi hutokea siku nimechelewa kuamka so navuta push-up kama100 alafu naoga

great thinker
 
Najua kwa Dar job wengine toka ngoma Tisa SAA hizo wamelala kwenye daladala wanaelekea job. Shukrani kwa mwendo kasi
Is true mwendokasi umetusaidia sana so hata muda wa tizi unapatikana

great thinker
 
Ni kweli lakini nakushauri piga hata push-up kadhaa ndo uoge vuzuri.Mi hutokea siku nimechelewa kuamka so navuta push-up kama100 alafu naoga

great thinker
Push up 100 kwa mpigo ama???
mim 20 tu zinanitoaga povu
 
Nshamaliza aasa hivi,nimekimbia kwa dk 30 mdogomdogo bila kupumzika nimemalizia na mazoezi mepesi ya kukata (Timbo)kitambi......Six pack.
 
kia2 changu cha mpira kimebanduka soli yote jana kwaio leo asubuhi sijaenda wanjani ila baadae ntapiga vi push up na kata tumbo nitoe jasho la kuoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru Mungu kwa kuniamsha salama kabisa.Nimeamka mda huu najianda kwa ajili ya tizi kama wewe mpenda kuweka mwili vizuri basi acha shuka twenzetu.
maandalizi-nachukuwa raba,lambda,track, n.k
Nakushauri amka tupige tizi

great thinker



Mimi nilihamka ile natoka nje tu nikaona mijamaa imeshika nondo, mapanga, visu, na mtungi wa gesi, wakitembea na kunong'ona huku wakiangalia madirisha ya watu. Nilijificha huku nikiomba Mungu wasinione na kunifanya mshikaki na ule mtungi wa gesi. Nimehapa kuanzia leo, sihamki tena asubuhi kukimbia, enough is enough.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…