[emoji3][emoji3]utaeza tu..na njaa yote iyo utawaza sa ngapi tundaItabidi nifunge kwaresma mwaka huu
Nitaanza siku ya kwanza mpaka mwisho
ugumu ni uzi wa kula tunda kimasihara je nitaweza kuupotezea?
Niwatakie Kwaresima njema wote tutaonana after Easter.
Muombe Mungu ufunge kwa maombi hata kama ni kushukuru tu sio lazma iwe shida au Tatizo.
Punguza matumiz ya ile anasa unayoipenda sana ikiwezekana iache kabisa...
Jitahid kuweza kutofautisha ushindaji na njaa na kufunga, Pia usigeuze kwaresima kama diet plan yako hilo halitakua lengo la kwaresima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uende kanisani kusali mkuu, sio maeneo hayoooIslam005,
Wale st peters kesho misa saa ngapi nitakuwa maeneo hayo?
Kwani mbona Kama unataka ligi?Kufunga kwa mtu anayemfuata Kristo ni kila siku haijarishi nikwaresma au sio kwaresma kiukweli ni kwamba
Ukiona unaishi maisha matakatifu kipindi cha kwaresma tu wewe sio mkristo we ni mpagani tu kama wapagani wengine
Hatuwezi mkristo kufanana na upande wa pili ambao wanaacha kula nguruwe kipindi cha mfungo tu
Ukiacha kuishi maisha matakatifu kisa sio kwaresma we ni MPAGANI SIO MKRISTO
Yote yakabidhi mbele msalaba mpendwa.Natamani ningeweza kufunga ila kichwa kimezongwa na mengi
Sina furaha wala amani
Moyo umekufa ganzi
Naamini Mungu ataniinua niweze kufunga hata siku chache
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema hapa mambo ya kuacha kula?Kufunga sio lazima kuacha kula wandugu, unaweza kufunga kwa kuacha kufanya chochote ulichokizoea na unakipenda sana ambacho unajua hakimpendezi Mungu wetu (hope mnamjua).
Na hali hii ngumu mtu asijeamua kubana matumizi ya msosi kwa kisingizio cha kufunga, hiyo haitakuwa kwaresma, kufunga kwa mkristu sio kufunga kwa mazoea, unafunga kula tu, NO. Funga kwa kuacha kile unachokipenda sana na kitakutoa jasho kweli kukiacha, huo ndio mfungo.
Vitu kama kubeti, kutoa lugha za hovyo kwa wengine (matusi), kusengenya/ umbea, kuna vitu vingi km hivyo ambavyo tumevizoea sana ndio vyakuacha.
Kwaresma ni kubadilika mpaka jirani yako aone mfano toka kwako, sio kuacha kula mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana mkuu! Utakuwa muda mwafaka sana ukimaliza hiyo saa 10 unaunga moja kwa moja kwenda kanisani. Inaonesha ni jinsi gani ulivyo Mkatoliki halisi, ubarikiwe sana na uwe na mfungo mwema!Asante mkuu maana kuna shughuli zitanibana mitaa hiyo hadi saa 10 hivyo itabidi nisali hapo nashukuru.
Aaaah, mkuu Kumbe ni wewe ndiye unatugegedea dada zetu? Ndiyo maana hata Mimi niliwagongea Swalhina wenu!Kipindi hichi cha mfungo kwaresma ukiwa kwenye ibada hii ya mfungo je unaruhusiwa kuwasilana na mpenzi wako? Mimi ni muislam lakini nina mpenzi kesho anategemea kufunga nataka nifahamu mipaka yangu kwako yeye kwa kipindi hichi chote akiwa kwenye mfungo
Mimi naoa mkuu nimelewa na penzi la dada yenuAaaah, mkuu Kumbe ni wewe ndiye unatugegedea dada zetu? Ndiyo maana hata Mimi niliwagongea Swalhina wenu!
Si ubadili dini mkuu ili umwoe kabisa? Mimi mlinikosesha Swalhina wangu kwa misimamo yenu ya hivyo?Mimi naoa mkuu nimelewa na penzi la dada yenu