BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Sikuwahi kuwa interested na kazi za usiku ni vile tu upepo wa maisha ndo umenifanya nijikute nipo huku na kadri siku zinavyoenda najikuta naanza kuenjoy kufanya kazi usiku na yote haya ni kwa sababu.
1. Napata muda wa kutosha kupumzika na kufanya mishe zangu.
2. Nature ya kazi zetu kama una mpango wa kando kazini lazima uone usiku mfupi.
3. Mara nyingi usiku panakuwa hamna kazi nzito ni kama kwenda tu kuonekana eneo la kazi.
4. Kuna Uhuru mkubwa kutokana na mabosi wengi hawana tamaduni za kuja usiku kazini
5. Mishe haramu za usiku zinazokufanya urudi na chochote kwa mama watoto.
Changamoto.
1. Usingizi ni changamoto kubwa maana kampuni nyingine ni kosa linaloweza kupelekea kusimamishwa kazi.
2. Kumuacha wife peke yake geto maana kuna mabazazi utumia hiyo kama fursa.
3. Wizi
4. Baridi Kali na sehemu ya kutulia Mimi eneo langu la kazi ni mapori kila sehemu utakayogusa ni umande.
5. Kujaribiwa kichawi.
Ila yote kwa yote nipende kutoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunipatia kazi maana na Mimi nakatwa na NSSF Kikotoo kinanihusu uzeeni.
1. Napata muda wa kutosha kupumzika na kufanya mishe zangu.
2. Nature ya kazi zetu kama una mpango wa kando kazini lazima uone usiku mfupi.
3. Mara nyingi usiku panakuwa hamna kazi nzito ni kama kwenda tu kuonekana eneo la kazi.
4. Kuna Uhuru mkubwa kutokana na mabosi wengi hawana tamaduni za kuja usiku kazini
5. Mishe haramu za usiku zinazokufanya urudi na chochote kwa mama watoto.
Changamoto.
1. Usingizi ni changamoto kubwa maana kampuni nyingine ni kosa linaloweza kupelekea kusimamishwa kazi.
2. Kumuacha wife peke yake geto maana kuna mabazazi utumia hiyo kama fursa.
3. Wizi
4. Baridi Kali na sehemu ya kutulia Mimi eneo langu la kazi ni mapori kila sehemu utakayogusa ni umande.
5. Kujaribiwa kichawi.
Ila yote kwa yote nipende kutoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunipatia kazi maana na Mimi nakatwa na NSSF Kikotoo kinanihusu uzeeni.