GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mengineyo namuachia Mwenyezi Mungu kwani Yeye ndiye kila kitu hivyo kama akiamua Simba SC tutashinda sawa itakuwa hivyo lakini kutokana na ' nujum ' zangu ( namaanisha tabiri zangu ) za hadi muda huu natiririka na naserereka na huu uzi ni kwamba matokeo ya Kesho ya mechi ya Simba SC na Singida United ni kama yafuatayo:
Simba SC 0 - Singida United 0
au
Simba SC 1 - Singida United 1
au
Simba SC 0 - Singida United 1
au
Simba SC 1 - Singida United 2
Na kama haitoshi kutakuwa pia na Kadi Nyekundu katika moja ya Timu.
Wana Simba SC wenzangu chonde chonde Kesho tuanze kujiandaa Kisaikolojia na msije kusema sikuwatahadharisheni mapema kisha baada ya mechi tukasikia tena kuna Wapenzi / Mashabiki wa Simba SC wamefariki dunia kwa ' mshtuko ' wa matokeo.
Tuonane Kesho Saa 11 na dakika 55 au Saa 12 Kamili jioni ili tuulizane zaidi juu ya ' nujum ' zangu hizo hapo juu.
Kila la kheri.
Nawasilisha.
Simba SC 0 - Singida United 0
au
Simba SC 1 - Singida United 1
au
Simba SC 0 - Singida United 1
au
Simba SC 1 - Singida United 2
Na kama haitoshi kutakuwa pia na Kadi Nyekundu katika moja ya Timu.
Wana Simba SC wenzangu chonde chonde Kesho tuanze kujiandaa Kisaikolojia na msije kusema sikuwatahadharisheni mapema kisha baada ya mechi tukasikia tena kuna Wapenzi / Mashabiki wa Simba SC wamefariki dunia kwa ' mshtuko ' wa matokeo.
Tuonane Kesho Saa 11 na dakika 55 au Saa 12 Kamili jioni ili tuulizane zaidi juu ya ' nujum ' zangu hizo hapo juu.
Kila la kheri.
Nawasilisha.