Tunaojiandaa kuishangilia Kesho Simba SC ikicheza na Singida United tujiandae Kisaikolojia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mengineyo namuachia Mwenyezi Mungu kwani Yeye ndiye kila kitu hivyo kama akiamua Simba SC tutashinda sawa itakuwa hivyo lakini kutokana na ' nujum ' zangu ( namaanisha tabiri zangu ) za hadi muda huu natiririka na naserereka na huu uzi ni kwamba matokeo ya Kesho ya mechi ya Simba SC na Singida United ni kama yafuatayo:

Simba SC 0 - Singida United 0


au


Simba SC 1 - Singida United 1


au


Simba SC 0 - Singida United 1


au


Simba SC 1 - Singida United 2

Na kama haitoshi kutakuwa pia na Kadi Nyekundu katika moja ya Timu.

Wana Simba SC wenzangu chonde chonde Kesho tuanze kujiandaa Kisaikolojia na msije kusema sikuwatahadharisheni mapema kisha baada ya mechi tukasikia tena kuna Wapenzi / Mashabiki wa Simba SC wamefariki dunia kwa ' mshtuko ' wa matokeo.

Tuonane Kesho Saa 11 na dakika 55 au Saa 12 Kamili jioni ili tuulizane zaidi juu ya ' nujum ' zangu hizo hapo juu.

Kila la kheri.

Nawasilisha.
 
Alafu mashabiki wenu ndio wanao ongoza kuwa mishtuko ya mioyo! Bora umewaambia wajianae, Ila sidhani kama game dhidi ya singida ina tension kama dhidi ya Yanga.
 
Factor hapa ni mapinduzi cup, nawaonea huruma azam fatigue itawa cost, ila kwa mechi ya simba na singida kwa kuwa wote walikuwa kwenye urojo, tegemea game bovu ila simba uzoefu utawabeba
 
Shindwa wewe. Yanga ndio kila mwaka wanaongoja kudondoka kwa presha si Simba
 
Wanasema Morogoro ulinzi ulikuwa mkali, sasa ole wake atakayesema tulisalitiwa.
 
Factor hapa ni mapinduzi cup, nawaonea huruma azam fatigue itawa cost, ila kwa mechi ya simba na singida kwa kuwa wote walikuwa kwenye urojo, tegemea game bovu ila simba uzoefu utawabeba
umenifurahisha hapo uliopo malizia ,hahaaaa
 
Yanga Jana walikuwa wanashangilia droo
Hivi Timu vya Bush bora vipoteze Mechi hata tatu lakin lazima waioneshe adabu Timu kubwa
 
Pole
 
Yaani siku nzima leo nimesononeshwa na post hii, ambayo kimsingi nilijuta kwanini nilisoma, tangu asubuhi nimekuwa sina raha. Hatimaye furaha imerejeshwa na ile kauli ya kireno "bolla noventa minutu" (mpira dakika tisini)
 
Utabiri wako ni sawa na shit.... E
 
Mkuu vipi Mechi imeishaje huko Tz
 
Mkuu Post Zako Nyingi unazotabiri Huwa Namuona Hufanikiwi.
Ulituambia Kuwa World Cup 2018 ni la Argentina lakini Namuona pia umeenda Kombo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…