Tunaojiandaa kuishangilia Kesho Simba SC ikicheza na Singida United tujiandae Kisaikolojia

TABIRI ZISIZO ZA KISAYANSI, HUHUSISHA SANA, WATU WASHIRIKINA.
 
Kutabir si kazi ya binadamu, mungu ndiye hutabiri, hivo ni rahis kujua kama kwako yupo au VIP
 
Ukisikia kwenda chaka ndo uku a level tulkua tuna sema jomba kaenda OP
 
Kweli nimeamini kuna Watu ni Mangumbaru / Wajinga sana na hii thread pia imenisaidia kuwajua. Katika sentensi yangu tu ya mwanzo nimesema na kuweka tahadhari mapema mno kwamba hata hivyo Mimi nimetabiri tu / nimefanya nujum yangu ila mwenye kujua kama Simba SC leo ingeshinda ni Maulana / Mwenyezi Mungu peke yake na bahati nzuri Simba SC imeibuka na ushindi tayari ' Mijitu ' imekurupuka huko ilikotoka na kuanza kunilaumu huku ikisahau kwamba Mimi nimetabiri tu na sijasema nina uhakika na matokeo hayo kwa 100%.

Najua kuna ' Mijitu ' mingine ' mipuuzi ' ambayo sasa hivi inajifanya kunichukia kwa huu uzi wangu kwasababu tu iliamini kuwa ndivyo itakuwa na ' ikabeti ' na sasa ' mikeka ' yao imechanika ndiyo hasira zao zote inajifanya kuhamishia Kwangu. Sikumlazimisha Mtu aamini nilichokisema / kukitabiri na kama kuna ambao mnadhani huwa nabahatisha tu jaribuni kutafuta humu humu uzi wa mechi ya Simba na Yanga ya mwaka jana ambayo nilitabiri hivi hivi na katika mechi ile 99% ya nilichokitabiri kilitokea na Watu wengi humu walinipongeza pia.

Kama kweli mnajua kubisha au mlikuwa mna uhakika kwamba ' nujum / tabiri ' yangu ilikuwa ' magumashi ' mbona hamkujitokeza mapema kunikatalia na kunidhihaki lakini mlivyo ' Minafiki ' mmesubiria hadi mechi imeisha Simba SC imeshinda ndiyo mnajifanya kuleta ' mipua ' yenu na kujifanya kunilaumu / kunidhihaki.

Hopeless wakubwa!

Cc: moyes, Jmujun, Nahonyo, sikonjose, Bwana Mapesa, ijoz, kelao, King Ngwaba
 
Ila mimi hata hiyo mwakajana Sijakupongeza, Kwa Sababu siamini katika tabiri za Kienyeji. Nitakuunga mkono baadhi ya Maeneo sio katika tabili zako, Ingawa wewe ni ndugu yangu wa Karibu tu.
 
Next time jikaze wewe !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…