Tunaokaa watumishi wa serikali Dodoma chumba kimoja na godoro tukutane hapa

Tunaokaa watumishi wa serikali Dodoma chumba kimoja na godoro tukutane hapa

msemakweli2

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,880
Kimsingi watumishi wa umma wengi tuliohamishiwa Dodoma tunaishi maisha ya ajabu sana, bado hatujakubali kwamba ngoma ndio ishatoka hiyo na kifupi ikirudi ni panchaaa!wengi wetu tumepanga chumba kimoja ndani kuna gororo tumeweka chini basi.

Wengi wetu muda wa kazi ukiisha tunazugazuga pale ofisini tunapita kwenye mchemsho then tunavizia vizia mizoga kama tutabahatisha siku hiyo ya kurudi nayo nyumbani then ikishindikana basi tunarudi kwa huzuni kwenye viota vyetu kujibwaga.

WATUMISHI HATUNA NAMNA TUKUBALI KWAMBA HAPA NDIO NYUMBANI KWA SASA HAKUNA NAMNA.
 
Vumilieni patakaa level tu..😜 mtalala mpaka kwa hewa!
 
Kimsingi watumishi wa umma wengi tuliohamishiwa Dodoma tunaishi maisha ya ajabu sana, bado hatujakubali kwamba ngoma ndio ishatoka hiyo na kifupi ikirudi ni panchaaa!wengi wetu tumepanga chumba kimoja ndani kuna gororo tumeweka chini basi.

Wengi wetu muda wa kazi ukiisha tunazugazuga pale ofisini tunapita kwenye mchemsho then tunavizia vizia mizoga kama tutabahatisha siku hiyo ya kurudi nayo nyumbani then ikishindikana basi tunarudi kwa huzuni kwenye viota vyetu kujibwaga.

WATUMISHI HATUNA NAMNA TUKUBALI KWAMBA HAPA NDIO NYUMBANI KWA SASA HAKUNA NAMNA.
Vumilieni train ya umeme yaja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom