Tunaokaa watumishi wa serikali Dodoma chumba kimoja na godoro tukutane hapa

Tunaokaa watumishi wa serikali Dodoma chumba kimoja na godoro tukutane hapa

Kimsingi watumishi wa umma wengi tuliohamishiwa Dodoma tunaishi maisha ya ajabu sana, bado hatujakubali kwamba ngoma ndio ishatoka hiyo na kifupi ikirudi ni panchaaa!wengi wetu tumepanga chumba kimoja ndani kuna gororo tumeweka chini basi.

Wengi wetu muda wa kazi ukiisha tunazugazuga pale ofisini tunapita kwenye mchemsho then tunavizia vizia mizoga kama tutabahatisha siku hiyo ya kurudi nayo nyumbani then ikishindikana basi tunarudi kwa huzuni kwenye viota vyetu kujibwaga.

WATUMISHI HATUNA NAMNA TUKUBALI KWAMBA HAPA NDIO NYUMBANI KWA SASA HAKUNA NAMNA.
Sipati picha makao makuu yangekuwa Arusha ,Moshi,Morogoro ,au Tanga na nyumba mjini mngeuza mngebaki huko huko dodoma doro sana basi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukutane Rainbow jion [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Write your reply...nilikua naskiaga story papuchi zinanuka vibaya nikadhan watu wanatania sikuwahi kutana na hio situation japo Niko nje ya mada waku si nikakutana nayo Leo aisee nanyoosha mikono juu nilijuta aisee nimejuta kwakweli hii hali sitaki initokee tena
 
Wewe subiri.
Life style ya Dodoma sasa hivi lazima wabadilishane VVU
Vyumba, Nyumba tunawapatia ni nyingi sana wameridhika na muda wakurudi Dar kila week end wanapata nauli za Mabasi ni 15,000/ Dom Dar, bado magari yao na ya kiserikali
viwanja bwelele, kujenga ambapo wanapewa kiofisi
vimwana na kinga lazima
mm nlifika Magomeni Idrissa nikakimbia nikaelekea Uwanja wa fisi du nikakimbilia Temeke Sudan nikaamua kurudi Dom sehemu safi amani tu Mkuu, karibu Waswanu, Stella watakupokea
cc Ushimen Demiss
 
Back
Top Bottom