ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wale wana JF tunaotupia dawa(kamchongo) tujuane haPa.huu hapa Kuna jamaa yangu kanikeletea kutoka kigamboni Ni mkali balaa.napenda kaudongo kale ambacho kana moisture kwa mbali sio Kama huu wa Masai wa buguruni mkavu Sana halafu hauna vibe ukiuweka unaanza kusambaa mdomoni... hii kitu ikikunasa Ni noma unaweza kujikuta unaumwa kumbe kisa umekosa hii kitu ya kwa bibi sometimes huwa nashikwa arosto kinyama so nikiamka tu asubuhi break ya kwanza kwa Masai.nilianza kula ugoro baada ya kugundua unakata hamu ya kuvuta sigara na pia unaleta njaa halafu mi kipindi Hiko nilikuwa Sina appetite kabisa ilinibist nianze kutumia.sasa hivi nimeshakuwa addicted nao.