Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote hivyo na bado watu wanaendelea kuvutaugoro ulinikataa kabisa...
~hasa pale kutematema mate kama nyoka
~kunuka ugoro full time
~mkojo mwekundu na unanuka kinyama
~kuumwa kifua
~hasira hasira yaani ilitawala
~kula kwa kujificha,tofauti hata na bhaghe
~macho kuwa mekundu
~mwili kukosa nguvu na kuwa mchovu mchovu zaidi
~nguo na shuka zakulalia na kushindia kunuka goro
~na stimu yake inakufanya nzutu
~kuumwa kichwa haswaa
Ndo maana comment na mada zako za kindezi ndezi..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Wale wana JF tunaotupia dawa(kamchongo) tujuane haPa.huu hapa Kuna jamaa yangu kanikeletea kutoka kigamboni Ni mkali balaa.napenda kaudongo kale ambacho kana moisture kwa mbali sio Kama huu wa Masai wa buguruni mkavu Sana halafu hauna vibe ukiuweka unaanza kusambaa mdomoni... hii kitu ikikunasa Ni noma unaweza kujikuta unaumwa kumbe kisa umekosa hii kitu ya kwa bibi sometimes huwa nashikwa arosto kinyama so nikiamka tu asubuhi break ya kwanza kwa Masai.nilianza kula ugoro baada ya kugundua unakata hamu ya kuvuta sigara na pia unaleta njaa halafu mi kipindi Hiko nilikuwa Sina appetite kabisa ilinibist nianze kutumia.sasa hivi nimeshakuwa addicted nao.View attachment 1050101
Ni kweli mkuu ile kitu ni hatari fireeee😂😂😂Ugoro sio starehe ni mateso makali mnooo