. Hahaaaa! Mimi sio kunitongoza tu bali uniteke kabisa. Hata kelele sitopiga na wala watu wasinitafute. Niteke tu.
. Hahaaaa! Mimi sio kunitongoza tu bali uniteke kabisa. Hata kelele sitopiga na wala watu wasinitafute. Niteke tu.
Hahaaa! Hayo ndio yanaitwa mateso bila chuki. Ntakomaje...hapo kazi yangu kutafuna 'ujugu'. Cha ajabu siku ya kuachilia matesoni nagoma kuondoka.hhhaaah ! ngoja nisijibu hii !nakuteka nakuweka sehem nzuri tu msos fresh ! kukuhurumia nakuja siku zileee za ovulation ! dadek
Hahaaa! Hayo ndio yanaitwa mateso bila chuki. Ntakomaje...hapo kazi yangu kutafuna 'ujugu'. Cha ajabu siku ya kuachilia matesoni nagoma kuondoka.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Umeamka nayo mkuu?
Uyo namwonaga kama ana matatizo vile ni wa kum ignore mana kila kitu ata kisichomuhusu ata comment maneno ya ajabu hasa hili idiot analipenda...just try to view his profile utamwelewa ni mtu gan then utaona utakua unapoteza nguvu zako kumjibuMkuu kama wewe ni mwanaume utakuwa mwanaume wa ajabu, toka thread imeanza mpaka page zaidi ya 21 wewe unatukanana na wanawake
Usisababishe niwaze kama vile unagombea nao kitu kimoja.
Dooooh.. kaja na kwangu halafu huyo mkopaji.Acha hizo niandikie.
Afu nimeona alert ya pm nikajua ni wewe kufungu nakuta kuna tapeli anajaribu kunikopa daaah
Mbiti nitakuchapa ujue, hebu sema huko!! NITAKUDHARAUU SHAURILO!!hahaha jiongeze ! NIMEKUDHARAUUUU
Uyo namwonaga kama ana matatizo vile ni wa kum ignore mana kila kitu ata kisichomuhusu ata comment maneno ya ajabu hasa hili idiot analipenda...just try to view his profile utamwelewa ni mtu gan then utaona utakua unapoteza nguvu zako kumjibu
Wako kama watatu hivi akili na tabia zao zinafanana. Ni kuwavumilia tu maana wamegoma kubadilika.Aliniboa kweli jamaa thread watu tuko tunashangilia yeye anatukana tukana, tena unatukanana na wanawake kama wanagombea mme.
Yupogo hivyo hivyo,,hahaa
Hahahah mbona kwangu hawaji aiseeeDooooh.. kaja na kwangu halafu huyo mkopaji.
hahahahahaa. Atakuja. Anataka asaidiwe elfu 10Hahahah mbona kwangu hawaji aiseee
Nasikiaga tuu hizo story au huwa anaangaliaga wa kuwafuata PMhahahahahaa. Atakuja. Anataka asaidiwe elfu 10
Itakua wanaangaliaNasikiaga tuu hizo story au huwa anaangaliaga wa kuwafuata PM