Ajiita upivesity sijui.Hahahahaa kuna huyu,,wa pili ni yule wa nitawaumbua ama,,watatu nani ?
Kimeo balaa, anaweza kukuvamia na matusi ukabaki umeduwaa tu!!Ahaaa nae ni kutukana tu
Kidogo sasa!!Hahahahaha wana matatizo aisee
Shunie akee njoo huku, naona kile kipenz chako cha koo kipo mkononi mwa mzigua90..
Niko hapa naisubiria saa sita taraatibu huku naangalia BET Awards
Hahahahaaaa...Shunie akee njoo huku, naona kile kipenz chako cha koo kipo mkononi mwa mzigua90..
Mzigua naona mtoto wa kike guu guu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ndugu yangu utawatoa watu mate ya ugwadu bure.Hahahahaaaa...
[emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85]Hayo ya comment kuna mtu anaitww Makaveli. Mwandiko wake kule jukwaa pendwa unaweza ukajikuta umeloana jamani yaani anavyoelezea mwee mwee mwee. Sema ninao taka kuwatongoza nikipata mistari ntawaibukia
Umekuja [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85]
Naona kila mtu anatupia vilevi vya gharama tu, ina maana wale wenzangu na mie tunaokunywa zile zisizolipiwa kodi rasmi hawapo au!!Hahahahaha umeona eee
Heri ya mwaka mpya makaNaona kila mtu anatupia vilevi vya gharama tu, ina maana wale wenzangu na mie tunaokunywa zile zisizolipiwa kodi rasmi hawapo au!!
[emoji23] [emoji23]
Kuna mtu anagawa mahela huko tenaMBITIYAZA espy Mzigua90
Shunie Evelyn Salt Miss Natafuta makaveli10
Na wengine mkiwa tayari twendeni jukwaa la kule chini hahahaahha