Tunaomba debate na Ontario wenzake wawili kuondoa utata juu ya Forex

Tunaomba debate na Ontario wenzake wawili kuondoa utata juu ya Forex

Habari wadau..

Naona thread nyingi za forex za kuisifia na za kuipinga..

Dogo amekuja kutukomboa na elimu ya forex.. japo wengine wanasema ina ujanja ujanja ndani yake..

Napendekeza kuwe na debate ya TMT na Wajenga hoja makini.. hapo tupate majibu mazuri.. tujiunge na wengine..

Napendekeza upande TMT awepo ONTARIO na wenzake wawili anaowaamini wanajua kujibu facts... sio kelele na mapicha picha yasiyoeleweka bali facts..

Na upande wa wajenga hoja..

Awepo Nyani Ngabu lara 1 na mwingine yeyote makini ambae mashabiki watampendekeza...

wengine wote wakae kimyaaa tubaki wasomaji tu..

Hii debate nina imani itasaidia wengi na itarudisha jf yenye hadhi ya hoja makini.. kama ile debate ya matola vs zomba enzi za JK.

kuna range ontario kaiweka uzi mwingine natamani sana niione kadi ya gari.. au hata namba zake alizosajili tuangalie tra ... isije ikawa mambo ya forever livingi anatuvutia wateja
Watu wanafundisha forex Pretoria wewe unacheza segere.
 

Attachments

Habari wadau..

Naona thread nyingi za forex za kuisifia na za kuipinga..

Dogo amekuja kutukomboa na elimu ya forex.. japo wengine wanasema ina ujanja ujanja ndani yake..

Napendekeza kuwe na debate ya TMT na Wajenga hoja makini.. hapo tupate majibu mazuri.. tujiunge na wengine..

Napendekeza upande TMT awepo ONTARIO na wenzake wawili anaowaamini wanajua kujibu facts... sio kelele na mapicha picha yasiyoeleweka bali facts..

Na upande wa wajenga hoja..

Awepo Nyani Ngabu lara 1 na mwingine yeyote makini ambae mashabiki watampendekeza...

wengine wote wakae kimyaaa tubaki wasomaji tu..

Hii debate nina imani itasaidia wengi na itarudisha jf yenye hadhi ya hoja makini.. kama ile debate ya matola vs zomba enzi za JK.

kuna range ontario kaiweka uzi mwingine natamani sana niione kadi ya gari.. au hata namba zake alizosajili tuangalie tra ... isije ikawa mambo ya forever livingi anatuvutia wateja

Hiyo Range Rover ipo wapi? weka link ya uzi hapa ili Matomaso wengine waamini
 
Habari wadau..

Naona thread nyingi za forex za kuisifia na za kuipinga..

Dogo amekuja kutukomboa na elimu ya forex.. japo wengine wanasema ina ujanja ujanja ndani yake..

Napendekeza kuwe na debate ya TMT na Wajenga hoja makini.. hapo tupate majibu mazuri.. tujiunge na wengine..

Napendekeza upande TMT awepo ONTARIO na wenzake wawili anaowaamini wanajua kujibu facts... sio kelele na mapicha picha yasiyoeleweka bali facts..

Na upande wa wajenga hoja..

Awepo Nyani Ngabu lara 1 na mwingine yeyote makini ambae mashabiki watampendekeza...

wengine wote wakae kimyaaa tubaki wasomaji tu..

Hii debate nina imani itasaidia wengi na itarudisha jf yenye hadhi ya hoja makini.. kama ile debate ya matola vs zomba enzi za JK.

kuna range ontario kaiweka uzi mwingine natamani sana niione kadi ya gari.. au hata namba zake alizosajili tuangalie tra ... isije ikawa mambo ya forever livingi anatuvutia wateja
**Usiwe mshabiki ushauri wangu kwako ni huu, darasa la forex linaanza January
Jiungeni wenye akili mkaulize maswali mkiwa darasani
Screenshot_20171230-093806.png
 
Habari wadau..

Naona thread nyingi za forex za kuisifia na za kuipinga..

Dogo amekuja kutukomboa na elimu ya forex.. japo wengine wanasema ina ujanja ujanja ndani yake..

Napendekeza kuwe na debate ya TMT na Wajenga hoja makini.. hapo tupate majibu mazuri.. tujiunge na wengine..

Napendekeza upande TMT awepo ONTARIO na wenzake wawili anaowaamini wanajua kujibu facts... sio kelele na mapicha picha yasiyoeleweka bali facts..

Na upande wa wajenga hoja..

Awepo Nyani Ngabu lara 1 na mwingine yeyote makini ambae mashabiki watampendekeza...

wengine wote wakae kimyaaa tubaki wasomaji tu..

Hii debate nina imani itasaidia wengi na itarudisha jf yenye hadhi ya hoja makini.. kama ile debate ya matola vs zomba enzi za JK.

kuna range ontario kaiweka uzi mwingine natamani sana niione kadi ya gari.. au hata namba zake alizosajili tuangalie tra ... isije ikawa mambo ya forever livingi anatuvutia wateja
aab5cd20da85f8b3275d7771cd82fc6c.jpg
 
Sasa unataka malumbano ndio yatakusaidia kupata nini? Watanzania kuna wenye matatizo makubwa sana ya ufahamu.

Mtu kashatoa vitabu mkasome huko mjue biashara inavyofanyika eti mtu anataka watu walumbane ndio atajifunza namna biashara inavyofanyika.


wewe uliesoma vitabu umeliwa ngapi
 
Upuuz mtupu faida /hasara ya kwako mtu aache kudownload pesa aje kulumbana kama ukiona hakina faida kwako kaa mbali Muda wa malumbano hatunaaaaaaaa

wazee wa kudownload mahela mpoooooo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo

duh unaita watu kwenye uzi wa kupinga forex
 
Back
Top Bottom