Tunaomba kipindi cha Sports AM cha Azam Tv kianze saa 4:00 asubuhi

Tunaomba kipindi cha Sports AM cha Azam Tv kianze saa 4:00 asubuhi

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Hiki ni kipindi kizuri sana, tatizo kubwa ni muda wa kuanza kipindi ambapo wengine bado huwa tupo ibadani maana huwa wanaanza saa mbili kamili asubuhi.

Kwasisi watu wa zamani, kipindi hiki huwa na Ma-legend wa soka wa zamani huojiwa mubashara studioni na mtaalam Bin Zubery.

Tunaomba suala la muda lizingatiwe walau waanze hata saa 4:00 asubuhi itapendeza.

Naomba kuwasilisha...
 
Yule Bin Zuber ni Simba damu kila siku watu wale wale
 
Back
Top Bottom