Waweza tangulia wewe ukamuacha.R.I.P kijana..mwendo umeumaliza!
Hii ni uongo ,mtu anakufa muda wowote kwa sababu yeyote .Mtu masikini au mwenye maradhi anaweza kutoboa muda mrefu kushinda mtu ambaye anajiweza na afya nzuri.R.I.P kijana..mwendo umeumaliza!
Kwamba ni za moto?!
mbona unamkatisha tamaa kijana wakati hizo dawa zinaongeza siku za kuishi?R.I.P kijana..mwendo umeumaliza!
Kweli kabisaDuuuu, better to say the truth, that I'm sick and it's more better to be alone.
Yanini kuficha
ππππ
Sio kuacha ngono, labda uwaambie watumie kinga bhana.., bila ngono itakuwje sasa?Kuweni makini ngono haina faida zaidi ya kupeana ujauzito endelea kula Bata Nyama ya mbuzi na bapa achaneni na starehe za hovyo Kama ngono