DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
πππ Wanabidi kujua ngono ni anasa na sio Bata.Sio kuacha ngono, labda uwaambie watumie kinga bhana.., bila ngono itakuwje sasa?
Maisha haya yamebaki kama bahati nasibu tu.[emoji16][emoji16][emoji16] Wanabidi kujua ngono ni anasa na sio Bata.
[emoji23][emoji23]Na unakutaa umepigaa kavu sku zote....mtoto mbichi kumbe kawaka gridi ya taifa volt 1,000,000.
Au ambia vijana waoe.Kuweni makini ngono haina faida zaidi ya kupeana ujauzito endelea kula Bata Nyama ya mbuzi na bapa achaneni na starehe za hovyo Kama ngono