Tunaomba mamlaka na wamiliki waingilie kati kukemea na kuongea na madereva wao wa mabasi kwa vitendo hivi vya kuhatarisha maisha ya watu

Tunaomba mamlaka na wamiliki waingilie kati kukemea na kuongea na madereva wao wa mabasi kwa vitendo hivi vya kuhatarisha maisha ya watu

izo ndo speed nazozipenda, sio unapanda basi linatembea kama linaenda harusini badala ya kukimbia :3Heading:

#AJALIHAINAKINGA
Bus lile na Lori wapo mwendo wa kawaida ila huyu mwenye camera ndio anakimbiza gari ukiwa unaendesha unatakiwa uwe makini sana madereva vichaa hawakosekani na hao ndio mafundi wa kutengeneza ajali
 
Kwenye hiyo video hapo, huyo dereva wa bus alikua na haraka gani ya ku overtake sehemu kama hiyo na anaona kuna mtu anakuja mbele yake. Na bado unampiga taa kali usoni.

Hawa madereva hawana familia nini?

Mimi ni dereva wa mashirika,lakini kati ya kitu huwa sielewi ni hawa Bus Drivers wenzetu...unaweza kaa nyuma ya Driver seat kutoka kwa dereva,na unaona ana overtake kwenye mlima na haoni kinachokuja upande wake,kuna gari kama VX V8, BMW,BENZI...Hizo ni gari ambazo ukikutana nazo upande ulio overtake huwa zinafika ndani ya sekunde tatu, kitu ambacho ni hatari sana
 
Back
Top Bottom