Tunaomba mechi ya Young Africans na Mamelodi Sundowns ipewe hamasa ya Gamondi Day

Tunaomba mechi ya Young Africans na Mamelodi Sundowns ipewe hamasa ya Gamondi Day

Asalaam Aleikum,

Hopefully kila mtu kapokea results za quarter finals za CAFCL kwa namna anayoijua yeye. Sisi kama Mashabiki wa Young Africans tumefurahia kwa kiasi kupangwa na Mamelodi na furaha imezidi kuwa kubwa tukijua kwamba tuna kikosi kipana, kocha mzuri na wachezaji wenye uwezo mkubwa. Pia tunajua how good we thrive tukiwa underrated, mifano iko mingi ambayo inafahamika na wengi na siwezi kuhitaja.

Ombi letu ni moja kwa Management na Uongozi mzima wa Young Africans, hususani kwenye idara ya hamasa na uenezi. Tunaomba mechi yetu ya Nyumbani na Mamelodi Sundowns (Masandawana) ipewe hamasa ya Gamondi day kwa sababu kuu 3 ambazo naziorodhesha chini.

1. Gamondi amekuwa kocha ambaye ametufanyia mengi makubwa kwa muda mfupi, ni busara na destuli zetu wana Young Africans kuonyesha appreciation kwake kwenye mechi hii kubwa.

2. Hii mechi ni kubwa na ngumu pia, we need to back up our manager, we stand tall behind him ili aweze kupata support yetu na hatimaye tupate matokeo mazuri.

3. Itakuwa mechi ya kuweka historia pia, na kama kuna mtu tunamuhitaji atuvushe basi ni Gamondi master tactics.
TUNYOEEE VIPARAAA WOTEEE SIO
HAYA BANAAA TUNALIJADILIIIIIIIIIIII
 
Hapana iitwe Manara day, utoo mjidai kimanara manara
Manara ni kolo alikuja gsm baada ya ugomvi wake na Barbara na mo na ela vilevile ilimshawishi lakini sio miongoni mwa wananchi na wala sio msemaji wake.
 
Ndo ujinga mnaouweza.
Watu wanaiba mihela huko kama hawana akili nzuri.
Mapoyoyo mnaomba iwe Sijui gamondi day.
 
Kama Simba na Yanga wakifanikiwa kupata ushindi wa 2 - 0 katika mechi zao za kwanza nawaona wakienda nusu fainali.
Mechi za pili mara zote huwa na presha ukiweza kupata suluhu mpaka 1st half utakua ushaharib
 
Asalaam Aleikum,

Hopefully kila mtu kapokea results za quarter finals za CAFCL kwa namna anayoijua yeye. Sisi kama Mashabiki wa Young Africans tumefurahia kwa kiasi kupangwa na Mamelodi na furaha imezidi kuwa kubwa tukijua kwamba tuna kikosi kipana, kocha mzuri na wachezaji wenye uwezo mkubwa. Pia tunajua how good we thrive tukiwa underrated, mifano iko mingi ambayo inafahamika na wengi na siwezi kuhitaja.

Ombi letu ni moja kwa Management na Uongozi mzima wa Young Africans, hususani kwenye idara ya hamasa na uenezi. Tunaomba mechi yetu ya Nyumbani na Mamelodi Sundowns (Masandawana) ipewe hamasa ya Gamondi day kwa sababu kuu 3 ambazo naziorodhesha chini.

1. Gamondi amekuwa kocha ambaye ametufanyia mengi makubwa kwa muda mfupi, ni busara na destuli zetu wana Young Africans kuonyesha appreciation kwake kwenye mechi hii kubwa.

2. Hii mechi ni kubwa na ngumu pia, we need to back up our manager, we stand tall behind him ili aweze kupata support yetu na hatimaye tupate matokeo mazuri.

3. Itakuwa mechi ya kuweka historia pia, na kama kuna mtu tunamuhitaji atuvushe basi ni Gamondi master tactics.
Iwe: Yanga Half Final Key Day, Yaani mechi ya ufunguo wa yanga kufika nusu fainali
 
Asalaam Aleikum,

Hopefully kila mtu kapokea results za quarter finals za CAFCL kwa namna anayoijua yeye. Sisi kama Mashabiki wa Young Africans tumefurahia kwa kiasi kupangwa na Mamelodi na furaha imezidi kuwa kubwa tukijua kwamba tuna kikosi kipana, kocha mzuri na wachezaji wenye uwezo mkubwa. Pia tunajua how good we thrive tukiwa underrated, mifano iko mingi ambayo inafahamika na wengi na siwezi kuhitaja.

Ombi letu ni moja kwa Management na Uongozi mzima wa Young Africans, hususani kwenye idara ya hamasa na uenezi. Tunaomba mechi yetu ya Nyumbani na Mamelodi Sundowns (Masandawana) ipewe hamasa ya Gamondi day kwa sababu kuu 3 ambazo naziorodhesha chini.

1. Gamondi amekuwa kocha ambaye ametufanyia mengi makubwa kwa muda mfupi, ni busara na destuli zetu wana Young Africans kuonyesha appreciation kwake kwenye mechi hii kubwa.

2. Hii mechi ni kubwa na ngumu pia, we need to back up our manager, we stand tall behind him ili aweze kupata support yetu na hatimaye tupate matokeo mazuri.

3. Itakuwa mechi ya kuweka historia pia, na kama kuna mtu tunamuhitaji atuvushe basi ni Gamondi master tactics.
Swala la hamasa kwa mamelod ni kujichetua tu na kujichosha wakuu
 
Ndo ujinga mnaouweza.
Watu wanaiba mihela huko kama hawana akili nzuri.
Mapoyoyo mnaomba iwe Sijui gamondi day.
Wewe kwa upande wako umechukua hatua gani kuhakikisha hao walio iba hiyo mihela wanafika kwenye vyombo vya sheria?
Watanzani tulio wengi tumechoshwa na siasa za maigizo ziliopo nchini kwetu, ndio maana tumehamishia mapenzi yetu kwenye soccer, hayo mengine tumewaachieni wenyewe wanasiasa mumalizane nayo.

Nb. Hili ni jukwaa la soccer, huo upuuzi wako peleka huko jukwaa usika.
Ukiona wenzio wanaiba na wewe iba, usitukate ganje.
 
Ni heri tuiite Aly Kamwe Day.
Kwa kila goli tutakalofungwa kuwe na mashabiki wanaozimia, hadi dakika 90 tuwe tumezimia uwanja mzima
 
Back
Top Bottom