Kwel tenaπππUtopolo walivyo waongo inawezekana jana kabla ya mechi walimtuliza hata na laki 5
Hajala hela wala nini alikuwa ana wazingua ili alipwe na utopoloishu ni kwamba kama ni kweli alishakula hela kidogo wanaweza kumleta msimbazi
vip kuhusu kocha nae unaona abaki au aende zake na tumpe asante km.wenzakeHuyu jamaa jana alionekana rasmi ni garasa lililochangamka.
Kwanza nafasi ambayo anacheza simba wanao wachezaji wengi wazuri hamna mtu wa kumuweka benchi, Simba iachane na huyo jamaa ituletee mabeki wa kuaminika tutandaze soka kimataifa.
Morison ana nidhamu ndogo, jana baada ya kutolewa akagoma kukaa kwenye benchi akachukua bodaboda, huko kambini pia ana tabia chafu za kuwatishia wenzake na vitu vyenye ncha kali.
Simba wasiingie kwenye mtego usio na maana.
Aliwahi laki tano yake haraka maana alijua viongozi wanaweza kwenda kuichukua tena.. Mambo ya ufunguo bandiaUtopolo walivyo waongo inawezekana jana kabla ya mechi walimtuliza hata na laki 5
Yule hafai kabisa katika Timu ya Simba! anawafaa sana Yanga ngoja awashikishe adabu.ile ni takataka sio mchezaji.
Yanga tuliwaonya mapema kuhusu huyo Kibaka basi tu hawakuelewaYule hafai kabisa katika Timu ya Simba! anawafaa sana Yanga ngoja awashikishe adabu.