Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nilikumiss pia Jimmienilikumiss dada angu Mama Sabrina
tukirudi kwenye mada yako.. mimi huwa napenda kutumia kalaw ka newton kwenye haya mambo...
action and reaction are equal but opposite in direction
yaani unachofanyia dada wa wenzako na wenzako ndicho hichohicho wanachomfanyia dada yako..
unachosema kuhusu dada wa mwenzako ndicho hichohicho wenzako wanachosema kuhusu dada yako
i know the feeling ninezaliwa mvulana peke angu got two elder sisters and one litle sis.... kuna siku niliamua kukachunguza haka kadogo maana niliona kanazidi kuwa busy na simu nilichokutana nacho sitoweza kukitaja
ila tu wanaume wenzangu kaeni mkijua kila unachofanyia dada wa mwenzako na kumuona huyu demu mjinga kweli na ndio njemba wenzako wanachofanya kwa dada ako tena ukute ni zaidi ya ww unachofanya dada za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo baba swalehe5366436898853268957789975457898643367899644577886434679964667787655.
Hakuna mwenye hyo hela dunia nzm hvy hakuna wa kumnunua dada yangu ... Labda mataifa mawl usa na uk na urus wajchange
Hadi wajchange ujue my ccy ni so valuable
Kuna international forumHii chit chat ya miaka hii ni shida
Sawa endelea kunchukulia serious ...Acha uongo baba swalehe
Mara nyingi hauko seriousSawa endelea kunchukulia serious ...
Sijawah kuwa serious mwenzako
Mara zote siko serious ...Mara nyingi hauko serious
Nambye lkn ... Mambo yanaendajeMara nyingi hauko serious
ww jitambe tuuu alafu unakuta mda huu kuna njemba ipo kiunoni mwa dada ako alafu imepewa kwa mkopo ππππ maisha haya daaaah5366436898853268957789975457898643367899644577886434679964667787655.
Hakuna mwenye hyo hela dunia nzm hvy hakuna wa kumnunua dada yangu ... Labda mataifa mawl usa na uk na urus wajchange
Hadi wajchange ujue my ccy ni so valuable
yani mambo yakuwazia dada zangu sina kabisa..Nilikumiss pia Jimmie
Waambie wakuelewe kaka
Not fair [emoji23] baba swalehe atazimia tena kwa mkopoww jitambe tuuu alafu unakuta mda huu kuna njemba ipo kiunoni mwa dada ako alafu imepewa kwa mkopo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha haya daaaah
Kwa kweliyani mambo yakuwazia dada zangu sina kabisa..
maana kama mimi nawapata wadada za watu basi najua tu na kuna washkaji wanawapata dada zangu kwa njia hizohizo nazotumia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππNot fair [emoji23] baba swalehe atazimia tena kwa mkopo
Wangu wanaliwa bure. Wamejaza wajomba tu nyumbani.
"Ndugu zangu BAN inaumiza sana."
Hawana huo uwezo, wajinga sana dada zangu. Watatu wote wamezalia nyumbani.
Kuna international forum
Great thinkers
Jukwaa la siasa
Yatakufaaa