Dk 10, Simba wanapoteza nafasi nzuri kabisa baada ya kubaki karibu na lango la shuti lake linatoka juuu
Dk 7, mpira wa adhabu, Mavugo anajaribu kuachia shuti lakini Kwassi Asante anawahi na kuokoa
Dk 4 shuti kali, Agyei anatema lakini Swita karibu kabisa na lango anapaisha
Dk 3 Kipa Mbao FC anatoka na kuuwahi mpira mbele ya Mavugo hapa
Dk 3 Mohamed Zimbwe anajichanganya hapa lakini kipa anafanya kazi ya kuokoa kwa miguu
Dk 1, mpira umeanza, Mavugo anaubutua nje kule na Simba wanasogea karibu na lango la Mbao FC