Tunaombeni updates za kombe la FA huko Dodoma

Tunaombeni updates za kombe la FA huko Dodoma

Dk 15, Mbao FC wanapata kona ya kwanza pia baada ya mpira kumgonga Zimbe Jr, inachongwa lakini Mavugo anaokoa hapa
Dk 14, Kipa Haule wa Mbao anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kona wa Kichuya
 
Dk 22 Simba wanafanya shambulizi hapa, Mavugo anapiga inazuiwa, Liuzio anapiga inazuiwa na Mbao wanaondosha
Dk 20 sasa, bado mpira haujatulia sana na mpira bado hauna mipango mingi madhubuti kwenye milango
 
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
Dk 38 mpira unaonekana kuwa umepoa sana, ingawa Simba ndiyo wenye mashambulizi mengi lakini hawana utulivu wakifika kwenye lango la Mbao
Dk 33 Mavugo anamdhibiti Asante na kuachia mkwaju mkali hapa, kona
Dk 32, nafasi kwa Kichuya lakini anabutua buuuu
Dk 29, Simba inapata kona ya pili baada ya kipa Haule kujichanganya, inachongwa lakini haule anadaka vizuri kabisa
Dk 27 kosa kubwa wanafanya Mbao FC, Mavugo anapewa pasi yeye na kipa, alichofanya, anakijua mwenyewe, goal kick


Dk 26, Mavugo anauwahi mpira lakini anamgonga kipa hapa na Mwamuzi wa mchezo wa Kikumbo anasema faulo
Dk 22 Simba wanafanya shambulizi hapa, Mavugo anapiga inazuiwa, Liuzio anapiga inazuiwa na Mbao wanaondosha
 
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
Dk 38 mpira unaonekana kuwa umepoa sana, ingawa Simba ndiyo wenye mashambulizi mengi lakini hawana utulivu wakifika kwenye lango la Mbao
Dk 33 Mavugo anamdhibiti Asante na kuachia mkwaju mkali hapa, kona
Dk 32, nafasi kwa Kichuya lakini anabutua buuuu
Dk 29, Simba inapata kona ya pili baada ya kipa Haule kujichanganya, inachongwa lakini haule anadaka vizuri kabisa
Dk 27 kosa kubwa wanafanya Mbao FC, Mavugo anapewa pasi yeye na kipa, alichofanya, anakijua mwenyewe, goal kick


Dk 26, Mavugo anauwahi mpira lakini anamgonga kipa hapa na Mwamuzi wa mchezo wa Kikumbo anasema faulo
Dk 22 Simba wanafanya shambulizi hapa, Mavugo anapiga inazuiwa, Liuzio anapiga inazuiwa na Mbao wanaondosha
Simba hamna timu mule,wakae wajenge timu,waache maneno ya kipuuzi,naona wako hapa Dodoma wanaliaibisha jiji la Dar Es Salaam.
 
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
Dk 38 mpira unaonekana kuwa umepoa sana, ingawa Simba ndiyo wenye mashambulizi mengi lakini hawana utulivu wakifika kwenye lango la Mbao
Dk 33 Mavugo anamdhibiti Asante na kuachia mkwaju mkali hapa, kona
Dk 32, nafasi kwa Kichuya lakini anabutua buuuu
Dk 29, Simba inapata kona ya pili baada ya kipa Haule kujichanganya, inachongwa lakini haule anadaka vizuri kabisa
Dk 27 kosa kubwa wanafanya Mbao FC, Mavugo anapewa pasi yeye na kipa, alichofanya, anakijua mwenyewe, goal kick


Dk 26, Mavugo anauwahi mpira lakini anamgonga kipa hapa na Mwamuzi wa mchezo wa Kikumbo anasema faulo
Dk 22 Simba wanafanya shambulizi hapa, Mavugo anapiga inazuiwa, Liuzio anapiga inazuiwa na Mbao wanaondosha
Simba hamna timu mule,wakae wajenge timu,waache maneno ya kipuuzi,naona wako hapa Dodoma wanaliaibisha jiji la Dar Es Salaam.
 
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
Dk 38 mpira unaonekana kuwa umepoa sana, ingawa Simba ndiyo wenye mashambulizi mengi lakini hawana utulivu wakifika kwenye lango la Mbao
Dk 33 Mavugo anamdhibiti Asante na kuachia mkwaju mkali hapa, kona
Dk 32, nafasi kwa Kichuya lakini anabutua buuuu
Dk 29, Simba inapata kona ya pili baada ya kipa Haule kujichanganya, inachongwa lakini haule anadaka vizuri kabisa
Dk 27 kosa kubwa wanafanya Mbao FC, Mavugo anapewa pasi yeye na kipa, alichofanya, anakijua mwenyewe, goal kick


Dk 26, Mavugo anauwahi mpira lakini anamgonga kipa hapa na Mwamuzi wa mchezo wa Kikumbo anasema faulo
Dk 22 Simba wanafanya shambulizi hapa, Mavugo anapiga inazuiwa, Liuzio anapiga inazuiwa na Mbao wanaondosha
Simba hamna timu mule,wakae wajenge timu,waache maneno ya kipuuzi,naona wako hapa Dodoma wanaliaibisha jiji la Dar Es Salaam.
 
MAPUMZIKODAKIKA 1 YA NYONGEZA
Dk 45, krosi safi ya Kichuya kwa mpira wa adhabu, Asante anaokoa hapa
KADI Dk 44, kadi ya kwanza ya njano ya mchezo inakwenda kwa Swita ambaye anamuangusha Zimbwe Jr aliyekuwa akichanja mbuga
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
 
MAPUMZIKODAKIKA 1 YA NYONGEZA
Dk 45, krosi safi ya Kichuya kwa mpira wa adhabu, Asante anaokoa hapa
KADI Dk 44, kadi ya kwanza ya njano ya mchezo inakwenda kwa Swita ambaye anamuangusha Zimbwe Jr aliyekuwa akichanja mbuga
Dk 40, Muzamiru anaachia mkwaju mkali akiwa nje, goal kick
 
SUB Dk 51 Zimbwe anakwenda nje baada ya kuumia, nafasi yake ianchukuliwa na Abdi Banda
Dk 50, Simba wanagongeana vizuri karibu na lango la Mbao, lakini mara nyingine wanapoteza utulivu
Dk 48, shuti kali la Kichuya linampita kipa lakini Ndikumana anaokoa ukiwa unajaa wavuni. Kona inachongwa lakini haina faida
Dk 45, kipindi cha pili kimeanza kwa kasi kwelikweli, kila timu inaonekana imepania kufunga bao la mapema
 
Dk 61 Bukungu analazimika kulala tena chini na kutoa nje, kona. Inachongwa, Simba wanaokoa
SUB Dk 60, Liuzio anakwenda benchi na bwana harusi, Ibrahim Ajibu anaingia kuchukua nafasi yake
Dk 60, Banda anaachia mkwaju mkali kabisa hapa lakini goal kick
SUB 59 Dickson Ambundo anaingia kuchukua nafasi ya Sangija upande wa Mbao FC
KADI Dk 57, Asante analambwa kadi ya njano kwa kumuangusha Mavugo
Dk 57, nafasi nzuri ya kwanza ya Mbao katika kipindi cha pili baada ya Mkude kuanguka lakini Mbao wanapoteza
Dk 55, nafasi nyingine ya Simba lakini krosi ya Kichuya, mavugo anashindwa kuuwahi mpira
 
Dk 65, kipa Haule yuko chini baada ya kugongana na beki wake wakati akimuwahi Juuko asipige kichwa mpira wa adhabu wa Ajibu
Dk 63, shuti jingine kali langoni mwa Mbao, safai hii ni Ndemla lakini goal kick
Dk 63 Banda anaachia shuti jingine, lakini nyanya kabisa kwa Haule
Dk 61 Bukungu analazimika kulala tena chini na kutoa nje, kona. Inachongwa, Simba wanaokoa
SUB Dk 60, Liuzio anakwenda benchi na bwana harusi, Ibrahim Ajibu anaingia kuchukua nafasi yake
Dk 60, Banda anaachia mkwaju mkali kabisa hapa lakini goal kick
 
KADI Dk 70, Mkude analambwa kadi ya njano baada ya kumuangusha Hoza, ni eneo zuri kwa Mbao
Dk 69 Maganga anawachambua mabeki anawachambua mabeki wa Simba hapa lakini Juuko anatoa na kuwa kona
 
Dk 80 Mwamuzi anakwenda kumuasa kipa Haule kwa kupoteza muda akidai anafunga viatu
SUB Dk 80 Ndemla anakwenda benchi na nafasi yake inachukuliwa na Frederic Blagnon
Dk 80, Ajibu anafanya vema lakini Ndemla anaonekana kutokuwa makini mara kadhaa
Dk 74, Mavugo anashindwa kuunganisha krosi safi ya Ajibu na mpira unakwenda nje na kuwa goal kick
DK 71, Mkwaju safi wa adhabu wa Ndikumana lakini Agyei anaonyesha umahiri kwa kudaka vizuri kabisa hapa
 
Back
Top Bottom