Tunaomiliki daladala Dar upepo wa biashara utaathiriwa sana na Mwendokasi

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Kwa kasi ya ujenzi wa barabara za mwendokas kuna root zitaenda kufa au kususuasua

route za

Bunju - Ubungo.
Bunju - Makubusho
Goms - Kariakoo
Mbagala - Kariakoo.

Hizi routes mapato /hesabu ya boss itapungua by half yani 50%.

Ni vyema kuanza kuinvest kwenye sector nyingine.
 
Unahofia nini wakati hilo jiji kila siku raia wanaongezeka na mahitaji ya usafiri kuongezeka...

Mwendokasi yenyewe inalemewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…