Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

Nina vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 nirichukua kwa mtu ilikua inatumia lita 1 ya mafuta kwa km 5 nikapeleka kwa fundi gasket ilikua inavujisha oil inapeleka kwenye plug nikaweka mpya sasa hivi inakula lita 1 kwa km 8.

Wakati kwa watu wengine wenye vitz kama yangu ni 1lita kwa km 12 kwenda juu hapo tatizo litakua ni nn? Ukizingatia gari bado ni mpya ina mwaka 1 tangu iingia Tanzania.
 
Unaweka oil namba ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shkamoo Field Marshall Commandant Baharia RRONDO

Nadhani sie wa Japanese cars tusome hapa kupata uzoefu

uongo mbaya Toyota cars siooo esp hizi common za kitanzania kama Vitz,ist, Rav 4 nk basi tu watu uwezo Africa watu kuishia kwny basic na sio what u really want to own/dream of
Atleast baadhi ya Nissan kidogo esp kwny mwonekano na interior ziko vizuri

Ila mzungu ni balaa kila gari yake...nmebahatika kufahamu Audi A6 kupitia rafiki yangu...mzungu lazma umsalimie
 
LadyRed,
A6 mnyama. Btw European used cars kununua Japan sio expensive. Spare na maintenance kwa jumla ndio ziko juu, na wala sio juu sana. Ukiwa na urafiki na watu kama sisi utainjoi sana kuwa na hizo gari 🙂🙂
 
A6 mnyama. Btw European used cars kununua Japan sio expensive. Spare na maintenance kwa jumla ndio ziko juu, na wala sio juu sana. Ukiwa na urafiki na watu kama sisi utainjoi sana kuwa na hizo gari 🙂🙂
Nianze na kukutakia Heri ya Mwaka Mpyaa dearrr
 
Sisi wenye baiskeli aina ya phoinex tunacomment wapi maana nayo ya ulaya vile vile


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baba Taibali anakusalimia.

Hivi LandRover, Range Rover 504 na 505 na Vogue, haya asili yake ni wapi, Japan au German?

Kuna mtu kaniambia nichague zawadi ya birthday mwaka huu.

I'm thinking...🤔🤔🤔
Ukerewe
 
Mkuu with all due respect, nimejibu PM zako zaidi ya 50 regarding this.

Hayo magari uliyotaja yako class moja. Hapo ni uchaguzi binafsi unapenda nini.
 


Msalimie dokta Shika. Halafu ngoja nikusemee kwa baba Taibali...


Baba Taibaliiii, Baba Taibaliiiiii, RRONDO njoo huku kuna mtu ananichokozaaaaa....

Ukiniletea mabungo namnyima, simpi n'goo
 
Msalimie dokta Shika. Halafu ngoja nikusemee kwa baba Taibali...


Baba Taibaliiii, Baba Taibaliiiiii, RRONDO njoo huku kuna mtu ananichokozaaaaa....

Ukiniletea mabungo namnyima, simpi n'goo
Halafu wewe unaweza kuwa kale kademu kangu ka primary school enzi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…