Tunaomsupport uhuru tukutane hapa

Tunaomsupport uhuru tukutane hapa

mbona mwaka 2015 siyo tu walipiga wengine walipigiwa kura kabisa. sijajibiwa maswali yangu..mna support vipi? wakenya mnawaambia chagua uhuru kenyatta? hii inatokea hizi pande za kwetu tu. mambo ya ngoswe mwachieni ngoswe. siyo akili kuingilia ugomvi wa nyumba ya pili na kuchagua side
mkuu kuna kitu umevuta leo si bure
 
Mkiambiwa mnaingilia mambo ya uchaguzi kenya mnakataa 2015 hatukuona bandiko la kenya likisema tunaomsapoti lowassa tukutane hapa!
 
Mkiambiwa mnaingilia mambo ya uchaguzi kenya mnakataa 2015 hatukuona bandiko la kenya likisema tunaomsapoti lowassa tukutane hapa!
ni kwa sababu kenya ni nchi ya pili kwa kuwekeza tz badala ya uingereza
 
uhuru lazima ashinde ila lowasa unamhusisha kwa lana ipi

Hizi ni nchi jirani na wote wako tayari kwa lolote ili mradi siku moja waitwe 'rais". Hata kama ni kuuza nchi au kumkufuru Mungu wako tayari. Sasa Mungu keshawalaani urais watausikia tu
 
Back
Top Bottom