Tunaomsupport uhuru tukutane hapa

mkuu kuna kitu umevuta leo si bure
 
Mkiambiwa mnaingilia mambo ya uchaguzi kenya mnakataa 2015 hatukuona bandiko la kenya likisema tunaomsapoti lowassa tukutane hapa!
 
Mkiambiwa mnaingilia mambo ya uchaguzi kenya mnakataa 2015 hatukuona bandiko la kenya likisema tunaomsapoti lowassa tukutane hapa!
ni kwa sababu kenya ni nchi ya pili kwa kuwekeza tz badala ya uingereza
 
uhuru lazima ashinde ila lowasa unamhusisha kwa lana ipi

Hizi ni nchi jirani na wote wako tayari kwa lolote ili mradi siku moja waitwe 'rais". Hata kama ni kuuza nchi au kumkufuru Mungu wako tayari. Sasa Mungu keshawalaani urais watausikia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…