Sio uenda, ni ukweli ali kiba ni mwalimu na inspired many diamond akiwemo...juzi kaimba wimbo wa hadithi wa kiba, he has to
Diamond learned and inspired na hao akina Kiba, z anto, marlaw, soggy dog, suma lee... Voice wonder n. K
Ali kiba haendani na upepo ni mtu wa kanuni zake na hachoshi, creative na ana ile ladha halisi na bongo flavor
Ni ali kiba na bob junior ambao walimwambia diamond asi rap aimbe, ni ali kiba kamfundisha face face diamond punches zinakuwaje(tafuta interview ndefu ya ommy dimpo xxl)
Diamond kawekwa au kajiweka juu ambapo inamnyima raha, kiti cha moto... Maana yake kila siku wanakuja artist wapya hauwezi uka wa ignorw, aten, ndela, kusah, onesix... Hauwezi ukawaweka hapa na bado diamond akawa comfortable.. alitaka hilo linamuumiza
Ali kiba ka keep low ila tunaomjuq kutoka nakshi naksho, mac muga, hadithi.... Mpaka leo mshumaa sio wa kuongelewa au kwekwa level moja na akina Mond... kiba sio mtu wa publicity na kiki, kipaji na kazi zinamuweka pale. Haya mambo ya kukosa mvuto kwa sababu hayuko na ZARI ni uthibitisho tosha kuwa Diamond peke yake hawezi