Mtani! Hili sio povu....
Bali ni Ukweli uliopo....
Nangojea wakati wenu wa kuanza kuimba mapambia wanayo yaanzisha akina Hans Pope...
Yanga wanabebwa.
Yanga wananunua mechi.
Yanga wanaharibu soka pa bongo.
Manji anahonga wachezaji pinzania...
Malinzi anapendelea Yanga..
Hizo hapo juu ni baadhi ya mapambio ambayo najua si muda kabla hayajaanza kuimbwa na mashabiki wa MATOPENI FC wakiongozwa na Manara....