Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiita mwanaume rijali halafu unaogopa mdudu. Give me a break man. Huyo washa washa anakuwa effective akikugusa tu lakin akiwa mbali hata hakufany kitu..Aisee kuna madudu yanaitwa washawasha au itching caterpillars hao nawaogopa kuliko kawaida naweza kupa hela yoyote nilionayo nikiona umelishika hasa lile lenye manyoya na macho
Mungu niepushe nisikutane nayo wewe waujua udhaifu wangu.
Mzee baba unaogopa dudu washawasha au dudu washawasha?Aisee kuna madudu yanaitwa washawasha au itching caterpillars hao nawaogopa kuliko kawaida naweza kupa hela yoyote nilionayo nikiona umelishika hasa lile lenye manyoya na macho
Mungu niepushe nisikutane nayo wewe waujua udhaifu wangu.
hahahahaaa umelishika nini Shunie ??Naomba mahela niko nalo hapa nimelishika
hahahahahaaa naomba niishie hapaa ShunieDudu washa lenye manyoya Rijali
Hahahahaa wewee lishikilie tuu si unajua matokeo yakeeHahaha kwa nn jamani mm nasubilia mahela yangu tu mana bado nimelishika
Akitembea anatisha na ile minyoya chaajabu Zambia wanailaUnajiita mwanaume rijali halafu unaogopa mdudu. Give me a break man. Huyo washa washa anakuwa effective akikugusa tu lakin akiwa mbali hata hakufany kitu..
Acha kuwa mwoga wa wadudu
Hahahahaa wewee lishikilie tuu si unajua matokeo yakee
Nimecheka aiseee kama nimekuelewa zaidi