Uko sahihi mkuu,anapita njia ile ile aliyopitia Marehemu raisi awamu ya tatu,Mkapa ubabe na visasi kwa wapinzani raisi huyo alipotoka madarakani ndipo alipogundua na kujutia makosa yoteee na huyu hata akipita atakuja kujuta zaidi na kuomba asamehewe kama si kutunga kitabu cha kujutia aliyoyafanya.Nadhani kasoma somo moja kubwa sana in a hard way, akiifanikiwa kupata tena nafasi nadhani atayasema yoooote, kwa sababu kuwa anapeda kusema ya sirini.
Mno. Kimsingi madaraka kama hayajatumika kwa busara huleta kiburi sana. Unamkumbuka Basil P Mramba na ununuzi wa ndege ya raisi? Alisema tutakula nyasi, lakini lazima ndege ya raisi inunuliwe. Huyu nae anasema watu wa Bunda wasipochagua mgombea wa CCM watakosa maendeleo na kushikishwa adabu. Anasahau kwamba huku mitaani kumejaa shida tupu baada ya kuvuruga uchumi.Uko sahihi mkuu,anapita njia ile ile aliyopitia Marehemu raisi awamu ya tatu,Mkapa ubabe na visasi kwa wapinzani raisi huyo alipotoka madarakani ndipo alipogundua na kujutia makosa yoteee na huyu hata akipita atakuja kujuta zaidi na kuomba asamehewe kama si kutunga kitabu cha kujutia aliyoyafanya.
Hiyo leseni ya kuuza nchi inakatwa wapi ili tukawakatie CDM nao waiuze nchi? Acheni ubinafsi wa kuiuza nchi peke yenu. Tuko kwenye ulimwengu wa biashara huria kila mtu anaruhusiwa kuiuza nchi yake. Last time niliangalia serikali ya CCM mlishaiuza nchi kwa kuingia katika mikataba ya miaka 100 ya unyonyaji wa madini. Teh teh!
Huyu mzee atafyonywa hadi mwisho wa maisha yake hapa duniani. Amewaumiza wengi sana! Ni Hitler wa kizazi chetuNadhani waliomshauri mzee kwamba kuwanunua wapinzani, kuzuia mikutano ya hadhara, kutawadhoofisha na kuwafanya wadogo kutamfanya apendwe, walimpotosha sana.
Nadhani kasoma somo moja kubwa sana in a hard way, akiifanikiwa kupata tena nafasi nadhani atayasema yoooote, kwa sababu kuwa anapeda kusema ya sirini.
Nadhani kajifunza kuwa kuwekeza kwenye mema mioyo ya watu kuna faida zaidi kuliko kuwekeza kwenye visasi na ubabe.
Bashiru amewaagiza kujibu hoja za wapinzani wenu, ona kihoja ulicholeta hapa!tulimuulizia amsterdam ama
View attachment 1563417
Bashiru amewaagiza kujibu hoja za wapinzani wenu, ona kihoja ulicholeta hapa!
kama ni kahoja pita kushoto