Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Jf raha sana ,kuna wakati mwingine najizibizana na watu wazima pamoja kutoana akili huku moyoni ninajichekea laitii wangejua kamtu wanacho bishana wangesema 'kokojoe ukalele ukue'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…